Orodha ya majina ya wanachama wa CHADEMA walioteuliwa kugombea Ubunge 2015

Mi nadhani tuwe tunaongea kwa kutafakari,

1:hivi kwa huku bara ni chama gani kina wabunge wengi?,
2: Je katika hayo majimbo yaliyoorodheshwa ni jimbo lipi lilikuwa chini ya Chama kingine cha upinzani zaidi ya Chadema?,
3: katika hayo majimbo hata kama yalikuwa chini ya CCM, chadema kiliperfom vipi kulinganisha na vyama vingine vya upinzani katika uchaguzi uliopita?

Logical questions mkuu
 
Mkuu ushirika ni pamoja na kubebana ili muinuane. Kama ambavyo Duni katoka CUF kaja CHADEMA basi nanyi mngewasaidia wenzenu akina makaidi nao wawe na wabunge

Badala muangaikie namna ya kukikomboa chama chenu ccm kilichochokwa kwasababu ya dhulma,wizi wa mali za umma,kushindwa kuwatengenezea vijana ajira,mnahangaika na UKAWA.
 
Mambo ya ruzuku mmeishayaweka sawa? Ngoja uchaguzi uishe muone jinsi watu watakavyokuwa wanadai pesa zao!

kwa mawazo kama haya ndo Afrika haiendelei, watu wanafikiria vitu vidogo vidogo, vitu vya hapo kwa hapo, mambo ya ubinafsi wa nani atapata nini, bana eee, it is all about what Tanzania will achieve!
 
lkn nawapongeza chadema kwa iteuzi wao lkn napata shida kuhusu mlengo wa chama. taswira ya wateuliwa wote mbona asilimia 98% ni wakristo inamaana chadema haiungwi mkono na waislam. nashangaa kuona hata majimbo yalio na wananchi wengi waislam lkn mteuliwa ni mkristo. naomba viongoz wangu tuliondoe hili ili tuondoe hii dhana ya udini. kwa kufanya hivyo tutawashawishi watanzania wote kukipigia kura chama chetu hiki. vinginevyo italeta taswira mbaya kumbukeni tulimshambulia rais kwa kuteua mawazir wengi kwa kigezo cha dini na mada nyingi zilikuwa znajadiliwa hapa jamiiforums kuhusu suala hilo so sasa ni zamu yeti kuunda serikali ambayo itawaunganisha watanzania kwa kutobagua iman zao.
 
Hapa Chadema iwe makini maana wengi walianguka kura za maoni. Mpendazole hajawahi kufika Kishapu toka apoteze ubunge leo anateuliwa kugombea. Naona mnachezea kichapo tu
 
Mkuu kuna mzozo mkubwa wa Chadema asilia na Chadema maslahi asikudanganye mtu. Wengine wa Chadema asilia walijua watapona na walishindwa kusoma alama za nyakati. Bora wakioshtukia na kukaa pembeni ka Dr Slaa na Prof Lipumba
Kutokana na comments zako, ni kama umemueleza Profesa Lipumba alikuwa Chadema.

Wewe gamba, hivi ni lini Profesa Lipumba alikuwa mwanachama wa Chadema?
 

Orodha hii ya walioteuliwa kugombea ndiyo sahihi.

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
ORODHA YA MAJINA YA WANACHAMA WA CHADEMA WALIOTEULIWA KUGOMBEA UBUNGE

Mkoa Jimbo CHAMA MGOMBEA ALIYETEULIWA

Mara
1. Rorya CDM STEVEN J OWAWA
2. Tarime Mjini CDM ESTHER N MATIKO
3. Tarime Vijijini CDM JOHN HECHE
4. Musoma Vijijini CDM ZAKARIA MBULA CHIRAGWILE
5. Butiama CDM YUSUPH R KAZI
6. Bunda Mjini CDM ESTHER BULAYA
7. Mwibara CDM HARUN D CHIRIKO
8. Musoma Mjini CDM VINCENT J NYERERE
9. Bunda Vijijini CDM SULEIMAN DAUDI


Simiyu
1. Bariadi CDM GODWIN SIMBA
2. Maswa Magharibi CDM ABDALA PATEL
3. Maswa Mashariki CDM SYLVESTER KASULUMBAYI
4. Kisesa CDM MASANJA MANANI
5. Meatu CDM MESHACK OPULUKWA
6. Itilima CDM MARTINE MAGILE


Shinyanga
1. Msalala CDM PAULO MALAIKA
2. Kahama Mjini CDM JAMES LEMBELI
3. Kahama Vijijini (Ushetu) CDM SIMON BUKAKIYE ISAYA
4. Shinyanga Mjini CDM PATROAS PASCHAL K
5. Kishapu CDM FRED T MPENDAZOE


Mwanza
1. Ukerewe CDM JOSEPH MKUNDI
2. Magu CDM KALWINZI NGONGOSEKE
3. Nyamagana CDM EZEKIA D. WENJE
4. Buchosa CDM MARTINE KASWAHILI
5. Sengerema CDM HAMIS TABASAMU
6. Ilemela CDM HIGHNESS KIWIA
7. Misungwi CDM LEONIDAS KONDELA


Geita
1. Bukombe CDM PROF. KULIKOYELA KAHIGI
2. Busanda CDM ALPHONCE C MAWAZO
3. Nyang'wale CDM GEORGE MABULA
4. Chato CDM DR. BENEDICT LUKANIMA
5. Mbogwe CDM NICODEMUS H MAGANGA


Kagera
1 Karagwe CDM PRINCE RWAZO
2 Kyerwa CDM BENEDICT MTUNGIREHI
3 Bukoba Mjini CDM WILFRED LWAKATARE
4 Muleba Kaskazini CDM ANSBERT NGURUMO
5 Muleba Kusini CDM ALISTIDES KASHASILA
6 Biharamulo CDM DR. ANTHONY MBASSA


Mbeya
1. Lupa CDM NJELU KASAKA
2. Songwe CDM MPOKI MWANKUSYE
3. Mbeya Mjini CDM JOSEPH MBILINYI
4. Kyela CDM ABRAHAM H MWANYAMAKI
5. Rungwe CDM JOHN D MWAMBIGIJA
6. Busokelo CDM BONIPHACE A MWAMUKUSI
7. Mbozi CDM PASCHAL HAONGA
8. Momba CDM DAVID E SILINDE
9. MBARALI
10. Mbeya Vijijini CDM ADAM NZELA
11. Tunduma CDM FRANK MWAKAJOKA
12. Vwawa CDM FANUEL MKISI


Iringa
1 Ismani CDM PATRICK OLE SOSOPI
2 Kalenga CDM MUSSA L MDEDE
3 Mufindi Kaskazini CDM JUMANNE K MASONDA
4 Iringa Mjini CDM PETER MSIGWA
5 Kilolo CDM BRIAN KIKOTI
6 Mafinga Mjini CDM WILLE MUNGAI


Njombe
1 Njombe Kusini CDM EMMANUEL MASONGA
2 Lupembe (Njombe Kask) CDM EDWIN E SWALE
3 Wangingombe CDM DISMAS A LUHWAGO
4 Makete CDM JACKSON T MOGELA
5 Ludewa CDM ATHROMEO MKINGA
6 Makambako CDM ORAPH MHEMA


Rukwa
1 Nkasi Kusini CDM ALFRED DANIEL SOTOKA
2 Kwela CDM DANIEL NAFTAL NGOGO
3 Nkasi Kaskazini CDM KESSY SOUD
4 Sumbawanga Mjini CDM SADRICK MALILA
5 Kalambo CDM VICTOR MATENI


Tanga
1 Kilindi CDM JERADI K MREMA
2 Muheza CDM ERNEST MSINGWA
4 Korogwe CDM AMANI H KIMEA
5 Korogwe Vijijini CDM EMMANUEL KIMEA


Kilimanjaro
1. Rombo CDM JOSEPH SELASIN
2. Same Magharibi CDM CHRISTOPHER S MBAJO
3. Same Mashariki CDM NAGENJWA KABOYOKA
4. Moshi Mjini CDM JAFARY P MICHAEL
5. Hai CDM FREEMAN A MBOWE
6. Siha CDM DR. GODWIN MOLLEL


Arusha
1 Arumeru Mashariki CDM JOSHUA NASSARI
2 Arumeru Magharibi CDM GIBSON MESIYEKI
3 Arusha Mjini CDM GODBLESS LEMA
4 Longido CDM ONESMO OLE NANGOLE
5 Monduli CDM JULIUS KALANGA
6 Karatu CDM WILLE QAMBALO
7 Ngorongoro CDM ELIAS NGORISA


Manyara
1 Simanjiro CDM JAMES KINYASI OLE MILLYA
2 Mbulu Vijijini CDM MIKEL PETRO AWEDA
3 Hanang CDM MAGOMA RASHID DERICK
4 Babati Mjini CDM PAULINE P GEKUL
5 Babati Vijijini CDM LAURENT SURUMBU TARRA
6 Kiteto CDM KIDAWA ATHUMANI IYAVU
7 Mbulu Mjini CDM PAULO HERMAN SULLE


Dar es Salaam
1. Ubungo CDM SAED KUBENEA
2. Kawe CDM HALIMA JAMES MDEE
3. Ukonga CDM MWITA MWIKWABE WAITARA
4. Ilala CDM MUSLIM HASSANALI HEIDERALI
5. Kibamba CDM JOHN JOHN MNYIKA


Pwani
1 Chalinze CDM MATHAYO TM. TORONGEY
2 Kibaha Mjini CDM MICHAEL PAUL MTALY
3 Kibaha Vijijini CDM EDITHA BABBEIYA


Morogoro
1. Mikumi CDM JOSEPH HAULE
2. Morogoro Kusini CDM DAVID LUKAGINGIRA
3. Kilombero CDM PETER E LIJUALIKALI
4. Mlimba CDM SUZAN L. KIWANGA
5. Mvomero CDM OSWALD MLAY
6. Ulanga Magharibi CDM ALPHONCE MBASSA
7. Ulanga Mashariki CDM PANCRAS KONGOLI
8. Morogoro Mjini CDM MARCOSSY ALBANIE


Dodoma
1. Kongwa CDM ESAU NGOMBEI
2. Dodoma Mjini CDM SINGO BENSON KIGAILA
3. Bahi CDM MATHIAS LYAMUNDA
4. Chilonwa CDM JOHN CHOGONGO


Singida
1 Iramba Magharibi CDM JESCA KISHOA
2 Iramba Mash(Mkalama) CDM OSCAR KAPALALE
3 Singida kaskazini CDM DAVID DJUMBE
4 Singida Mashariki CDM TUNDU A LISSU
5 Singida Magharibi CDM MARCO ALLUTE
6 Manyoni Magharibi CDM LUPAA DONALD
7 Manyoni Mashariki CDM ALLUTE EMMANUEL


Tabora
1 Nzega Mjini CDM CHARLES MABULA
2 Igunga CDM NGWIGULU KUBE
3 Urambo CDM SAMWELI NTAKAMLENGA
4 Ulyankulu CDM DEUS KITAPANDYA NGERERE
5 SIKONGE CDM SAID NKUMBA
6 Manonga CDM ALLY KHALFANI NGUZO


Katavi
1 Mpanda Mjini CDM JONAS KALINDE
2 Mpanda Vijijini CDM MUSSA MASANJA
4 Katavi CDM GEORGE SAMBWE
5 Nsimbo CDM GERALD KITABU
6 Kavuu CDM LAURENT SENGA MANGWESHI


Kigoma
1 Kigoma Kaskazini CDM DR. YARED FUBUSA
2 Kigoma Mjini CDM DANIEL LUMENYELA


Ruvuma
1 Peramiho CDM ELASMO MWINGIRA
2 Mbinga Magharibi/Nyasa CDM CUTHBERT S. NGWATA
3 Mbinga/Mbinga Vijijini CDM EDWIN B AKITANDA
4 Songea Mjini CDM JOSEPH FUIME
5 Madaba CDM EDSON MBOGORO


Orodha ya Majimbo yaliyobaki itatolewa baada ya kukamilika kwa mashauriano katika UKAWA.


Mhe. John Mnyika (MB)
Kny. Katibu Mkuu CHADEMA
18.08.2015


ANGALIZO:

Wakati wa kujaza fomu kutoka tume ya uchaguzi sehemu ya chama wabunge wanapaswa kujaza CHADEMA na siyo CDM yasitokee yale ya serikali za mitaa.




Watumie na smss kabisa, uwakumbushe masuala yote muhimu ya kuzingatia likiwemo na suala ma kurudisha form kabla ya siku ya mwisho. Ccm tunawajua wana tabia mingi ya kishetani.
 
lkn nawapongeza chadema kwa iteuzi wao lkn napata shida kuhusu mlengo wa chama. taswira ya wateuliwa wote mbona asilimia 98% ni wakristo inamaana chadema haiungwi mkono na waislam. nashangaa kuona hata majimbo yalio na wananchi wengi waislam lkn mteuliwa ni mkristo. naomba viongoz wangu tuliondoe hili ili tuondoe hii dhana ya udini. kwa kufanya hivyo tutawashawishi watanzania wote kukipigia kura chama chetu hiki. vinginevyo italeta taswira mbaya kumbukeni tulimshambulia rais kwa kuteua mawazir wengi kwa kigezo cha dini na mada nyingi zilikuwa znajadiliwa hapa jamiiforums kuhusu suala hilo so sasa ni zamu yeti kuunda serikali ambayo itawaunganisha watanzania kwa kutobagua iman zao.
Wewe unayejiita mshabiki wa Chadema wakati fikra zako za udini udini makao yake makuu ni huko huko Lumumba kwenu.

Ni vyema hizo sera zenu za udini udini zipeleke huko huko 'nyumbani' kwenu magambani, kwa kuwa huku Chadema hazina nafasi hata chembe na hizo propaganda zako zishindwe kabisa.
 
kwa mawazo kama haya ndo Afrika haiendelei, watu wanafikiria vitu vidogo vidogo, vitu vya hapo kwa hapo, mambo ya ubinafsi wa nani atapata nini, bana eee, it is all about what Tanzania will achieve!
Kwani mkuu Junius unabishana na huyo gamba Kimbunga, kwani hujui kuwa hao ndiyo wale jamaa wa buku 7 Lumumba Sports Club?

Hao jamaa bila kupost chochote humu JF hata kama kikiwa pumba kiasi gani, ndiyo kigezo cha kupata per day yao pale Lumumba.
 
Acha Uongo Mbulu Vijijini Amani alishika nafasi ya Pili Nyuma ya Aweda... katika hatua ya Fainal ila Hatua za Awali Kijana Mwenye Bidii ya Maisha ya Wana Mbulu Gaseri alishika nafasi ya Kwanza... ila Hii hata Mimi Nilipenda Amani angekuwa Mbunge ila Mike naye Kapigania sana Chama nadhani hata Amani atakuwa na Moyo Mweupe...

Acha kukurupuka mkuu..hebu niambie sehemu nyingine ambapo kura hizi za maoni zilipigwa kwa hatua ya mtoano na hatua ya fainali (ha ha ha)

Kwa utaratibu wa kawaida kabisa wa kura ya maoni bwana Amani aliongoza kura na ndiye aliyestahili kuwa mwakilishi wa wananchi - huo utaratibu wa kurudia kura kwa hatua ya fainali ndio uliopingwa na watu wengi kwa sababu katiba ya CDM haisemi uchaguzi urudiwe ikiwa tayari kulikuwa na mshindi wakati wa kura za kwanza.
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom