Awsom
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,085
- 307
Mi nadhani tuwe tunaongea kwa kutafakari,
1:hivi kwa huku bara ni chama gani kina wabunge wengi?,
2: Je katika hayo majimbo yaliyoorodheshwa ni jimbo lipi lilikuwa chini ya Chama kingine cha upinzani zaidi ya Chadema?,
3: katika hayo majimbo hata kama yalikuwa chini ya CCM, chadema kiliperfom vipi kulinganisha na vyama vingine vya upinzani katika uchaguzi uliopita?
Logical questions mkuu