Orodha ya kauli za wanaccm kwa mh. Lowassa

Orodha ya kauli za wanaccm kwa mh. Lowassa

Tujisahihishe Tz

Platinum Member
Joined
Nov 17, 2011
Posts
3,050
Reaction score
1,359
Mods kama itawapendeza naomba msiondoe uzi huu


Kauli za wanaCCM kwa mh. Lowassa

Ikulu haina bajeti ya MSIBA Katibu wa Ccm ilala

Rip

Bora ameondoka Ccm aende tu AKAFIE huko ukawa @ Celina kombani

Rip

Lowasa ni mgojwa sana Haifa ni mahututi hawezi kuongoza inchi Mchungaji mtikila

Rip

Lowasa ni maiti inayotembea @ nape

!!!
 
Last edited by a moderator:
Oh nioooo Nape Lizaboni...repent before it is too late!!!
 
Last edited by a moderator:
Hadi tumalize uchaguzi wote wanaodhihaki afya ya LOWASA watakuwa wamebaki historian hapa Duniani.Na hili Galina ubishi, cku zote Kazi ya Mungu haidhihakiwi.
 
Kwani mtikila nae. ni mwana Ccm au nipo nje ya siasa kitambo

Kuna watu wa ukawa wana akili fupi kama nukta, usipokubaliana nao wewe ni ccm, wengi wao ni majinga kweli yani, mi nafikiri Tz iingizwe kwenye maajabu ya dunia, kuna watu HAWANA ubongo ila wanaishi poa tu. Hili ni ajabu la dunia na linapatikana Tz tu.
 
Bado Nape,Bulembo,Mwigulu,Lusinde,Hamisi Kigwangala,Joseph Msukuma,Dr.Slaa,January Makamba pamoja na yule baba yao anayewatuma wakamtukane Lowassa!
 
Mods kama itawapendeza naomba msiondoe uzi huu


Kauli za wanaCCM kwa mh. Lowassa

Ikulu haina bajeti ya MSIBA Katibu wa Ccm ilala

Rip

Bora ameondoka Ccm aende tu AKAFIE huko ukawa @ Celina kombani

Rip

Lowasa ni mgojwa sana Haifa ni mahututi hawezi kuongoza inchi Mchungaji mtikila

Rip

Lowasa ni maiti inayotembea @ nape

!!!

0766715381
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu wa ukawa wana akili fupi kama nukta, usipokubaliana nao wewe ni ccm, wengi wao niajinga kweli yani, mi nafikiri Tz iingizwe kwenye maajabu ya dunia, kuna watu HAWANA ubongo ila wanaishi poa tu.

Wewe tu ungekuwa na hizo "akili" usingejiita "Jogoo dume" kwa sbb hayupo jogoo jike wala dume bali kuna "Jogoo" tu!!

Na unazifahamu akili za kuku a.k.a Jogoo??

Ndiye wewe!!
 
YUKO PAKA SHUME MMOJA YEYE ANAMWITA MH.LOWASSA
""Marehemu""
IMENIUMA MPAKA BASI
GOD KNOW WELL!
""OUR LOAD SHALL ACT SOONLY KABLA JOGOO HAJAWIKA""
 
Mods kama itawapendeza naomba msiondoe uzi huu


Kauli za wanaCCM kwa mh. Lowassa

Ikulu haina bajeti ya MSIBA Katibu wa Ccm ilala

Rip

Bora ameondoka Ccm aende tu AKAFIE huko ukawa @ Celina kombani

Rip

Lowasa ni mgojwa sana Haifa ni mahututi hawezi kuongoza inchi Mchungaji mtikila

Rip

Lowasa ni maiti inayotembea @ nape

!!!

Na bado
 
Last edited by a moderator:
Kumkashfu mtu kwa kigezo cha afya yake (maradhi) haifai, kabla hujafa hujaumbika. Haijalishi unatoka chama gani, swala ni kwamba kumkashfu binadam mwenzio kwa ugonjwa unaomsumbua ni hatari kwa maendeleo yako!
 
Back
Top Bottom