usinijibu hivyo
JF-Expert Member
- Nov 7, 2017
- 248
- 327
Hii leo imebandikwa ofisi ya kijiji karibu na nyumbani kwetu.
Mkisikia wananchi wamegombana na watumishi wa serikali wakija kugawa mashamba haya msitu wa 'Nusu mail' Msishangae
Watumishi na madiwani wamejigawia wakati wananchi hawana pakulima
Huu msiba
Alafu madiwani wa upinzani tuliowaamini kama wakombozi wetu wanatuangusha
Mkisikia wananchi wamegombana na watumishi wa serikali wakija kugawa mashamba haya msitu wa 'Nusu mail' Msishangae
Watumishi na madiwani wamejigawia wakati wananchi hawana pakulima
Huu msiba
Alafu madiwani wa upinzani tuliowaamini kama wakombozi wetu wanatuangusha