Mjanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,238
- 324
- Thread starter
- #21
point taken! lakini kumbuka muda mwingi tuko makazini, wanapobaki wenyewe cjui inakuaje?
Baada ya mtoto kuanza kuyaporomosha ulimchukulia hatua gani?? Unajua wazaz wa siku hz mnalealea watoto kizembe sana, kudekeza kwingi utafikiri ye ndo mzaz wako. Kwa mzaz wangu mimi haikuwa rahs kumsikia mtoto akisema tusi hata kma kalicopy sehem. Sasa ww mtoto anaporomosha matus ya Zeko na we upo, hii inaleta picha gani?? Umedekza huyo mtoto, vinginevyo asingethubutu kufanya hivyo. Sisemi kwamba hujui kulea ila usiache comed wakulelee mtoto.