Orijino Komedi ya TBC1

point taken! lakini kumbuka muda mwingi tuko makazini, wanapobaki wenyewe cjui inakuaje?

Baada ya mtoto kuanza kuyaporomosha ulimchukulia hatua gani?? Unajua wazaz wa siku hz mnalealea watoto kizembe sana, kudekeza kwingi utafikiri ye ndo mzaz wako. Kwa mzaz wangu mimi haikuwa rahs kumsikia mtoto akisema tusi hata kma kalicopy sehem. Sasa ww mtoto anaporomosha matus ya Zeko na we upo, hii inaleta picha gani?? Umedekza huyo mtoto, vinginevyo asingethubutu kufanya hivyo. Sisemi kwamba hujui kulea ila usiache comed wakulelee mtoto.
 
hawa jamaa na zaidi masanja huwa aniboa sana bora wengine yani yeye kwanza sio creative, matusi anayotumia hata mtoto mdogo anaelewa anamaanisha nini yani ukikaa karibu na watoto au watu wazima ni fedheha tupu
maswali kama unatumia condom?, huwa unapiga kavukavu? unapiga nyama kwa nyama? hayakubaliki aaaaagggggh lkn pia kuna times fm nilisikia siku moja kipindi cha mchana alikuwa akiongea bi hindu ee mungu tuepushie hili janga
 
since twapata TBC 1 online sasa .. tuambieni yachezwa lini / siku gani na saa ngapi..?
 
quote_icon.png
By Paul Kijoka

Nani aliwapeleka TBC 1!!!!!!!!



Kikwete na Rostam


kiranja mkuu hapo juu kwenye red umemsahau Manji
 
Toka walipochukuliwa kwenye kampeni za CCM,yani wamekuwa si wakosoaji/waelimishaji kama ilivyokuwa hapo mwanzo.....sijui wamelewa pesa za kifisadi?dah.....wabadilike kama wanataka wawe kwenye game kwa mda mrefu.
 
Toka walipochukuliwa kwenye kampeni za CCM,yani wamekuwa si wakosoaji/waelimishaji kama ilivyokuwa hapo mwanzo.....sijui wamelewa pesa za kifisadi?dah.....wabadilike kama wanataka wawe kwenye game kwa mda mrefu.

hapo umenchekesha sana mkuu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom