kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Aliyeona kipindi cha jana anipe hints jamani ilikuwaje! Nilichelewa kutoka kaizni, hivyo sikuwaona kina Masanja jamani.
Kwa ufupi hamna kitu zaidi ya tangazo la tb na shukran kwa waliomchangia sajuki, mi ni mpenzi wa comedy hasa ya kina masanja lkn walipofikia naona wanatutupa mkono