Orijino Komedi: Kwa faida ya nani?

Ninaachoona mimi wale vijana tumewazoea machoni hawana jipya la kutuchekesha, kwa swala kwamba usanii umewapungua si kweli. Huyu ndugu yetu na maosia yake hayasaidii kwa wakati huu, halafu amejuaje hayo yote kama si kumdhihaki mwenzio mashaka matongo ambaye inawezekana hata hicho kipingi hakukiona wala kukisikia popote.

Huyu bwana ana mambo ya kujifanya baba wa taifa kutoa wosia kwa wenzie!

he kweli ni balaa kama si blaaa.
wawe wazuri ama wabaya, wanakipaji ama hawana......hapa hoja ni moja tu kua umaarufu wao umepungua na hiyo ndio maana yakupoteza mvuto, unapopoteza mvuto hata thamani ya maonesho yako hushuka, na thamani nazungumzia ktk maana ya pesa, sasa kama mapato yameshuka ndo maana twasema wamefulia. na kama wamefulia sasa sababu yaweza kua kuporomoka kiusanii au macho yamezoea,
Mara nyingi wengi wetu huvimba kichwa na kujiona tumefika , hali hiyo hutusababishia kiburi, na kiburi huleta dharaau na dharau hupunguza juhudi, na juhudi ikipungua ubunifu hushuka , na kama hakuna ubunifu hiyo sanaa ni mfu, tupa shimoni.
Inawezekana macho na akili zetu zimewazoea, .....lakini mr Been mchekeshaji mwenye vutuko vingi mbona amedumu kwa miaka mingi sana bila kuchuja.....mimi hapo ndo narudi kwenye wazoi moja sanaa yao haina ubunifu mwingi.
Lakini kwanini nahisi umaarufu umewapungua, kwenye maeneo ambayo zamani watu walikua wanajaa kuwatizama hawa vijana siku hizi utakuta watoto wadogo tu, na watu wazima wanaendelea na shughuli zao kama kawaida, lakini kumbuka miaka miwili iliopita, nani angekua salama kwa kubadili channel wakazi ze Comedy wakiwa kazini , enzi masanja mkandamizaji anakandamiza kisawasawa. kifupi w2amefulia.
Shigongo au yoyote anahaki yakuwashauri hawa vijana, wala hakukosea kuwapa kile ulichoita WOSIA......KWANI KUNA UBAYA GANI. NAONA MAWAZO YAKO YANAJIELEKEZA KWENYE MIPASHO.
 
duh wewe ndo hujui uliko, hivi kwa mwenye akili anaweza kulinganisha futuhi na ze comedy? kwanza wao futui hata kiswahili chenyewe hawajui vizuri, leo hii useme wanatisha? duh labda usukumani! ze comed bado wamo tena saana, hawana mfano tz hii, hata EA tote, nimekuwa kenya ,uganda etc the comedy funika,sasa kina mizengwe nao zengwe tu, futuhi kwanza jina lenyewe lipo kama wao, eeh jumamosi ze comed ni balaa, ila siungi kitendo chao cha kumdhihaki BW MENGI au yeyote aliefulia kwa kumfikisha kiuwazi namna hiyo mbele ya jamii!!

Mi nafikiri kabla hujasema wenzio hawana akili fanya utafiti walisemalo,ile kiukweli jamaa hawapo kabisa ikitaka kujua hilo fuatilia zile bar ambazo zilikuwa zina jaza watu wakati kipindi cha ze comedy kinarushwa hewani ulinganishe na sasa ndo uweze kuwaita wenzio hawana akili,sikuhizi kwa taarifa yako hamna tena hilo,na hilo ni dharau na matusi wanayo tumia ktk lunga hawafai tena bora FUTUHI
 
sasa wana elekea Kufulia wao wenyewe!!
Mvuto una pungua!!

Ubunifu una shuka siku hadi siku...

mnashindwa vipi kuwa husisha wabunifu wengine nadani ya mkataba wenu!!
Hiyo ni TV ya yetu...

pigeni kolabo hata na wakina bambo!!
 
Mimi naamini tayari wameshafulia muda mrefu saana uliopita.

Hebu tafakari Ze Commedy ya miaka miwili au mmoja na nusu nyuma. They were real entertainers ingawa content ya walichokisema haikuwa na mantiki yo yote, walisaidia kufurahisha, kufanya watu watabasamu na hata kusahau machungu na magumu yao kwa siku hiyo moja walau.

Muda wa saa moja ambayo wanapewa pale TBC kwa ajili ya kipindi chao is as good as the lost time. TBC ni ya umma, hata kama Tido Mhando na Mkuchika hawana habari na jambo hili, na kwa hivyo tunayo haki ya kudai matumizi mazuri ya air-time katika kituo hiki, na hivyo naamini mkataba wao ukimalizika pale TBC, they should never renew it as they no longer have anything meaningful to offer!

Tido Mhando, it is high time you do things with the community interests very close to your heart. Do not be barbaric as you have always been hata kama unabebwa na JK na Mkuchika. Wapo wengi saana wanaoweza kuvaa viatu vyako na waka-deliver much better than what you have been able to do!
 
Kwa kweli FUTUHI Star TV kwa sasa wanaelekea kuziba pengo kwa kuwa na Komedia zenye content ya maana na wanatimiza hasa lile lengo la Tamthiliya za vichekesho yaana ucheshi na ujumbe wenye maslahi kwa jamii.

Nimekuwa nikiona Commedy muda mrefu nafikiri kwa sasa wamelowekea na wala siyo kufulia
 
creativity zero and that was very clear in their show yesterday..wamefulia sana tuuu
 
Nafikiri sasa wanaanikwa juani wakauke baada ya kufulia.Lakini wakishtuka wanaweza kurudia ubora na viwango tena.
 
Kila anayenunuliwa na Yusuf Manji au Rostam Aziz lazima atafulia. Kwani mizimu ya Wanyamwezi walioelekwa utumwani na babu yake Rostam aziz itamfuata usiku na Mchana. Hivi Watanzania mna akili au mbongo zimejaa mboji. Kwa nini Rostam Aziz aliposema anajivunia biahara ya familia yake ya huko Tabora tangu Mwaka 1884 hakuna hata mtu mmoja kati ya wabunge 300 wa CCM hakuona hilo ni tusi tena la nguoni. In short waTZ wa leo ni wapuuzi kuliko wale wliouza wenzao simply kwa kupewa shanga na bunduki. Kuna wale walikuwa na tahira Mkapa walikubali kupewa mrahaba wa 3% halafu wakamteua Alex Stewart As kufanya Audit iliachuee asilimia 1.9% mnabakia na 1.1% halafu mnajivuna tunabata mrahaba.... Ukitaka kubadili sheria JMK anasema isiwe retrospective ila ni kwa watakaokuja hivi huyu Mkwere ana akili timamu? Unapoweka sheria mpya unafuta ya zamani. Mbona tukibadili viwango vya kodi hatusemi hivyo,this is a crazy gang!! Samahani nimetoka nje ya Ze comedy but msipoteze muda nao. Nilitaka kuwaonyesha kwamba kila anayetumwa na hawa akina Rostam na Manji lazima achemshe ikiwa ni pamoja na Rais aliyesema atakuwa karibu na wafanyabiashara si ndio hao!!!
 
Bravo Kamanda,

Lakini jambo moja ni dhahiri, hawa vijana sidhani kama yuko mmoja wao ambae amemaliza kidato cha nne akapata hata point 25 (yaani division III)! Kiwango chao cha elimu na haya wanayoyafanya hayana tofauti kabisa na uelewa wao! Kwa wao mafanikio haya is a surprise achievement! Wangekuwa wanasukuma mikokoteni na kuuza maji kama sio Channel 5 kuwatoa, japo wao walilipa machafu na matusi kwa mazuri haya.

Manji ni sumu mbaya saana kwa kila mwenye kuweka maslahi ya Tanzania na Watanzania mbele!

Any body who could reach them out there: tell them sasa wanasababisha kinyaaaaa! Wameoza na wananuka!
 
Kwa kweli FUTUHI Star TV kwa sasa wanaelekea kuziba pengo kwa kuwa na Komedia zenye content ya maana na wanatimiza hasa lile lengo la Tamthiliya za vichekesho yaana ucheshi na ujumbe wenye maslahi kwa jamii.

Nimekuwa nikiona Commedy muda mrefu nafikiri kwa sasa wamelowekea na wala siyo kufulia

,,,aaah hakuna kitu,hao FUTUHI ndio hakuna kitu kabisa kwa maoni yangu,wanalazimisha kukulazimisha kucheka,na lugha wanazo ziigiza ndio kabisa,ze KOMEDI wapo ok,sema mmesha wazoea ndio maana mnaona ka wamefulia,na kila wanaojaribu kutoka katika fani hii ya vichekesho,basi wote wanawaigiza wao,jamaa wame set standard flan hivi,na wengine wanajaribu kuiga.
 
sifa ya umaarufu ni kuja na kuondoka,huwezi kupanda juu muda wote lazima utashuka,komedi orijino kama wavyojiita wenyewe wanatimiliza tu huu msemo
''Sio kila king'aacho ni dhahabu,aliejuu mngoje chini''
 
Kila anayenunuliwa na Yusuf Manji au Rostam Aziz lazima atafulia. Kwani mizimu ya Wanyamwezi walioelekwa utumwani na babu yake Rostam aziz itamfuata usiku na Mchana. Hivi Watanzania mna akili au mbongo zimejaa mboji. Kwa nini Rostam Aziz aliposema anajivunia biahara ya familia yake ya huko Tabora tangu Mwaka 1884 hakuna hata mtu mmoja kati ya wabunge 300 wa CCM hakuona hilo ni tusi tena la nguoni. In short waTZ wa leo ni wapuuzi kuliko wale wliouza wenzao simply kwa kupewa shanga na bunduki. Kuna wale walikuwa na tahira Mkapa walikubali kupewa mrahaba wa 3% halafu wakamteua Alex Stewart As kufanya Audit iliachuee asilimia 1.9% mnabakia na 1.1% halafu mnajivuna tunabata mrahaba.... Ukitaka kubadili sheria JMK anasema isiwe retrospective ila ni kwa watakaokuja hivi huyu Mkwere ana akili timamu? Unapoweka sheria mpya unafuta ya zamani. Mbona tukibadili viwango vya kodi hatusemi hivyo,this is a crazy gang!! Samahani nimetoka nje ya Ze comedy but msipoteze muda nao. Nilitaka kuwaonyesha kwamba kila anayetumwa na hawa akina Rostam na Manji lazima achemshe ikiwa ni pamoja na Rais aliyesema atakuwa karibu na wafanyabiashara si ndio hao!!!

inatia uchungu sana.
icon8.gif
icon9.gif
icon8.gif
 
Hawa jamaa kweli wamefulia it's true ukinunuliwa na Manji au Rostam lazima ufulie na ndio kama kilicho wakuta Ze.
 
Back
Top Bottom