Original lg g3 line moja made in korea kwa 300000 tu

Mrs S

JF-Expert Member
Mar 18, 2017
286
90
20170419_100255.jpg
20170419_100239.jpg
20170419_100217.jpg
 
Chukua 150000 mkuu mwaka mgumu huu
Mpendwa nikweli pesa yako ni nyingi hyo ila hailipi kiongoz na hapo sipati faida yoyote ile kwa ajili ya kioo imemeguka kidogo tu ila kamera ianfanya kaz na simu hipo vizur tu bila shidaah
 
Mpendwaa hii ni line moja from korea ndugu yangu naiuza bei ya hasara shauri ya kioo hapo tu mpendwaa tena ni og kabsaa kwa hyo hailipi kabsa mpendwaa kaongeze lak njoo
Korea ya kaslazini au kusini?
 
Back
Top Bottom