Original Comedy TBC1 Mkajipange

Original Comedy TBC1 Mkajipange

kifupi ni kwamba hao vikaragosi wa TBC1, EATV, ITV, STAR TV wote hamnazo....

ki ukweli Hamna wanachofanya

mbaya zaidi tulizoea wanaipa changamoto serikali kwa njia ya vicheleaho sasa hivi naona ndo wanawapamba
hakuna kitu kwisha habari yao wale jamaa
 
Hovyo sana. Niliangalia mpaka nikajutia. Dakika 15 zinapotea eti mtu anafuatwa na mdudu.

Mie nimebaki na KANJANJA TIME tu Chanel 10. Maana hawa matukio yao ni ya ukweli wanayoyaonyesha.

katika kitu kilinikera ndo hicho
15 min mtu anatafuta mdudu wat the hell
alafu sasa walicheza scene 3 tu
ambazo hakuna hata moja inachekeaha
hivi ALICHOKIFNYA MPOKI ULIKIELEWA????
anongea upuuzi tu ambao hauchekeshi jamani
embu waangalie Mr bean japo clip ya back to school
hakuna anachoongea lakini problem anazosababisha unacheka hadi huruma

yupo creative.ila hawa kama wanassukumwwa au kupangiwa waigize nini
 
"game" yao ishapita na sasa washazeka.wajikite tu kwenye ujasiriamali.masanja akazie hapo hapo kwenye uhubiri mana nao siku hizi unalipa vizuri.

kama wasipojirekenbisha ndo huko wanelekea
 
katika kitu kilinikera ndo hicho
15 min mtu anatafuta mdudu wat the hell
alafu sasa walicheza scene 3 tu
ambazo hakuna hata moja inachekeaha
hivi ALICHOKIFNYA MPOKI ULIKIELEWA????
anongea upuuzi tu ambao hauchekeshi jamani
embu waangalie Mr bean japo clip ya back to school
hakuna anachoongea lakini problem anazosababisha unacheka hadi huruma

yupo creative.ila hawa kama wanassukumwwa au kupangiwa waigize nini

Habari yao imekwisha.
Vengu anajifanya mtabiri wa hali hewa alafu anatumia google earth kuonyesha uwanja wa taifa. Walinikera sana.
First impression is the last one.
Sijui kama nitaangalia tena.
 
Habari yao imekwisha.
Vengu anajifanya mtabiri wa hali hewa alafu anatumia google earth kuonyesha uwanja wa taifa. Walinikera sana.
First impression is the last one.
Sijui kama nitaangalia tena.

kweli mkuu wamekutoka hao jamaa
yule anaitwa wakuvanga
alitumia lugha chafu sana
"eti ukitembea kishoga shoga shoga"
 
Aisee hivi kile ni nini au ni macho yangu ki ukweli li kipindi halivutii hata kidogo haichekeshi hata kidogo nimeshangaa sana ina maana nyinyi ndo mlikaaa miez kadhaa mkajipanga ndo kmmerudi kwa staili hii.

Asiee chukueni hii kama changamoto.

Mkajipange.

Umelazimishwa??
Tuachieni wenywe comedy yetu tuangalie we c uweke tu Tv ya kimasai uangalie
 
Umelazimishwa??
Tuachieni wenywe comedy yetu tuangalie we c uweke tu Tv ya kimasai uangalie

tv ya kimasai ndo ipi hiyo

tofautisha chanel na tv
mpuuuzi wa hedi wewe

umelazimisha na weqe kuja kukoment hapa kama uzi haukuhusu unakuja kufanya nini shwaini wewe

ndo maana bado ni Boy mpuuuzi mkubwa weqe
 
tv ya kimasai ndo ipi hiyo

tofautisha chanel na tv
mpuuuzi wa hedi wewe

umelazimisha na weqe kuja kukoment hapa kama uzi haukuhusu unakuja kufanya nini shwaini wewe

ndo maana bado ni Boy mpuuuzi mkubwa weqe

Sasa ulitaka niwe girl :what:
Una maneno Matamu kama juice ya strawberry🏃🏃🏃🏃
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom