MAPUMA MIYOGA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,792
- 2,369
Hao kwisha Kabisa, wamebaki kujipodoa na macream na kuvaa kike kike sasa sijui huo ndio ucheshi ama wao ni mawakala wa ushoga.
Aisee hivi kile ni nini au ni macho yangu ki ukweli li kipindi halivutii hata kidogo haichekeshi hata kidogo nimeshangaa sana ina maana nyinyi ndo mlikaaa miez kadhaa mkajipanga ndo kmmerudi kwa staili hii.
Asiee chukueni hii kama changamoto.
Mkajipange.