Ni haki useme hvyo boss ili uhaminifu nikitu kizur siku zote kwenye maisha na mm sijaanzia kwenye simu kufanya biashara za hv kiongozi na uwa namdhamn sana alieniam nakunipa dhamana ya pesa yake uwez jua ameitoa wapNapata mashaka na majibu yake sijui kama kwel kuna biashara hapa au Kelvin Isaya kaja kivingine yaani mtu ukiumwa na nyoka ata jani likikugusa tu lazima ustuke
Muda mwingne kuropoka kutakuja kukuponza sawaa hv nikale ela yako kwa kisa gan leo kesho wewe utaniamin mm kweli nakuniagiza kweli ukiona walikutapeli na kukuingiza mjini hao sio wafanya biashara alafu na maswala ya kuja unaleta lugha zako za kijingi kwa mtu usie mjua uwee unafikiria kiongoz usiwee kama umeshikiwa akili sawaaHehehe...tapeli mkubwa wewe, kunahaja gani kukupa pesa yangu ufanyie biashara afu urejeshe badala ya wewe kunilipa riba mie ndo nikulipe, kweli maisha yamekuwa magumu, Samsung shops napata kwa bei hiyo hiyo au ya chini ya hapo sa kuna haja gani ya kufata Korea?
Mkuu mi nna huawei mate 9.. RAM GB 4 internal GB 64Hapo ndipo mkangany
Hapo ndipo mkanganyiko unapoanza, wewe mwenyewe unalalamika sasa hivi hali ngumu...sasa unategemea mtu aanze tu kukupa advance usawa huu bila wewe kuwa hata na ofisi?!! Utakuwa unatania.
Baada ya hapo nipe bei ya simu hizi:
1. Huawei Mate 9, 6GB RAM 128GB ROM-Black
2. Honor 8 Pro - Black
Hata ya mwanamke pia anaipata kwa jasho kiongoz ukiona mtu anakutapeli ujue huyo sio mfanyabiashara na anajiaribia kwasababu leo kesho utakuja kuwa na kampuni mje mkutane uso kwa uso hv unadhan inakuaje usiseme usichokijua sawaa sijui mtapeli mwanamke sijui kitu gani mm ni mfanyabiashara kujenga trust kwa wateja hicho nikitu cha kwanza mengne baadae maana nyinyi ndio mnao tuweka mjini kiongoz leo nikibeba pesa yako unadhan ntafaidika nn maana sijui ulipo itolea mwishowee niambulie laana na kurud nyuma kibiashara wakat hiyo sio plan yangu plan nikufika mbali zaidi kibiasharautatapeli wanawke tu hel ya mwanaume inaptikna kw jasho sana
Kaka ata mbuyu ulianza kama mchicha kiongoz sawaa na korea sifat simu tu na vitu vingne pole pole ndio mwendo ata baresa akuamka na kujenga mapipa yale alianzia kidogo kidogo mpaka sasa analisha tanzania nzima kiongoz mdogo mdogo ndio mwendo na ujazaliwa ukazikuta pesa bali unatafuta iliufike mahali ndugu yangu siku za mbeleni ofisi na kila kitu kitakuwa sawaaNauli ya korea ghali vp ikushinde ata ela ya frem au unataka kufungua ofisi posta
Duuuh biashara ngumu... Yaani unauza simu sisi ndio tukuombe mawasiliano, tukuuliza ofisi iko wapi.... Tangazo la biashara hili au maigizo??Napokea order ya simu mzigo nachukulia korea nazileta kwa order unaniagizia unalipa advance mzigo ukifika unamalizia pesa unachukua simu yako
Tatizo la kukremisha litakokost ndugu yangu mm sipo hvyo nikisha kutapeli napata nn kwan jf ndio mwisho wa kukutana uwez jua za mwiz arobaini tukakutana uso kwa uso na pili sito weza kufika mbali kibiashara maana kila mtu akiwa anakulalamikia unadhan unaendelea au ukiniamin wewe ukanipa dhamana ya pesa yako kisha nikakutapeli mm najua umeitoa wap kama nikwenye uganga au asubuh mchana usiku kucha unaisaka hyo ela leo hii nikutapeli ntafaidika nn wewe ukikaa ukimlalamikia Mungu wako mm ntapona kweli unavyo dhani na ukiwa mfanyabiashara kujenga trust na wateja wako nikitu kizuri sana na unakua na sifa nzuri maana kwa sasa hv watu wanafanya biashara kwa njia ya mitandao kiongoz leo nikikudhulumu sipat faida mmUtapeli mtupu..!isaya kelvin on work.
Anaweza kuwa sio kelvin bali ni Propesa lipumba😀 buguruni pamepauka ujue!!!!!Huyu atakua ni kelvin isaya tu!
Asante kaka akitokea muhitaji ntamwambia ila mm uwa nazifata kiongoz na nying uwa na samsung na lg na iphone nichache sana naletaga bossMkuu mi nna huawei mate 9.. RAM GB 4 internal GB 64
nipe 600k tu nakuachia.. Bado mpya
Unaeza nicheki 0659337348
Unafanya biashara umeisomea au ndio sawa na wakulima kwa jembe la mkono?Tatizo la kukremisha litakokost ndugu yangu mm sipo hvyo nikisha kutapeli napata nn kwan jf ndio mwisho wa kukutana uwez jua za mwiz arobaini tukakutana uso kwa uso na pili sito weza kufika mbali kibiashara maana kila mtu akiwa anakulalamikia unadhan unaendelea au ukiniamin wewe ukanipa dhamana ya pesa yako kisha nikakutapeli mm najua umeitoa wap kama nikwenye uganga au asubuh mchana usiku kucha unaisaka hyo ela leo hii nikutapeli ntafaidika nn wewe ukikaa ukimlalamikia Mungu wako mm ntapona kweli unavyo dhani na ukiwa mfanyabiashara kujenga trust na wateja wako nikitu kizuri sana na unakua na sifa nzuri maana kwa sasa hv watu wanafanya biashara kwa njia ya mitandao kiongoz leo nikikudhulumu sipat faida mm
Pole mkuu usisikilize maneno ya kukukwamisha said:Asante kwa kunielewa ni changamoto za biashara ndio maana tunaambiwa unatakiwa uwee nakauli nzur kwa mteja maana mwisho wa siku atajiona mjinga yeye na kwa swala la ofisi muda sio mrefu ila tunaanza mdogo mdogo uko tunafika muda sio mrefu na mawasiliano nimewapa na wapo walionitumia sms sema tu misele ilikuwa inabana ukitulia tu kinaingia hiki mtu unakuwa unashindwa kumjibu kwa wakati kiongoz
Hujanipa options za kuchagua nitachagua vipi nipe options na bei zake na specifications zake nichek bajet yangChagua wewe uniambie mm nataka tablet hii ni bei gani kwa uko ndio nikuambie tajiri yangu maana zipo za aina nyingi boss wangu
Ni haki uwaze na kunena unachokisema ila atakae tokea na kuniamin akanipa dhamana ya pesa yake atakuambia kwamba mm ni mtu wa aina gan na sio hv kila mtu anatoa neno lake shaur amesha kremisha kila mtu ni yule yule wengine biashara mitandaon ndio maisha yetu tu alisha familia na uwa namdhamini sana anaeniami mm na kunipa dhamana ya pesa yakeAnaweza kuwa sio kelvin bali ni Propesa lipumba😀 buguruni pamepauka ujue!!!!!
Embu soma kichwa cha habari uelewe sawa nimekuambia ni mtaji au nazileta kwa order ata kama mtu wakiagiza watano bora najua azito kaa kama nilizoleta mwanzon na zimebak tatu tu sio unasema tu kwa kuwa mdomo umepewa bure kiongoz na hulipi kodiUnafanya biashara umeisomea au ndio sawa na wakulima kwa jembe la mkono?
Unafanyaje bishara mtaji unategemea kwa mteja?!!!!!
Acha ubabaifu.
Kitu kinachonishangaza seke seke la Kelvin lilikuwa hivi hivi alivotokomea hakuna ambaye angeaminiAsante kaka akitokea muhitaji ntamwambia ila mm uwa nazifata kiongoz na nying uwa na samsung na lg na iphone nichache sana naletaga boss
Maneno yako hayana bima.Ni haki uwaze na kunena unachokisema ila atakae tokea na kuniamin akanipa dhamana ya pesa yake atakuambia kwamba mm ni mtu wa aina gan na sio hv kila mtu anatoa neno lake shaur amesha kremisha kila mtu ni yule yule wengine biashara mitandaon ndio maisha yetu tu alisha familia na uwa namdhamini sana anaeniami mm na kunipa dhamana ya pesa yake