HA HA HA HA HA HA HATARI SANAKaribuni kwenye utumwa wa umma...kuna yule dogo alipata kazi t.r.a ikawa kutwa nzima anatusumbua humu kwa thread...ckuhz baada ya kuona maisha ndani ya ajira yalivyo naona katulia kawa mpole hahaaah
Hiyo inaitwa kumtumikia kafiriKaribuni kwenye utumwa wa umma...kuna yule dogo alipata kazi t.r.a ikawa kutwa nzima anatusumbua humu kwa thread...ckuhz baada ya kuona maisha ndani ya ajira yalivyo naona katulia kawa mpole hahaaah
ulisha mpindukia tayariHahah hafahamu mzigo hauchelewi pinduka
Secretariate wame upload majibu toka tarehe 17/05/2018 lakini hakuna majina ya NHIF wala ya PTF na wakati wa interview walitangaza kuwa majibu watatoa Secretariate.Salaam.
Tuliofanya Oral interview naomba tukutane hapa ili kupeana mrejesho maana nimesahau hata kuliza lini wanatoa majibu rasmi na kupewa barua za vituo vya kaz.
Any updates mkuuSalaam.
Tuliofanya Oral interview naomba tukutane hapa ili kupeana mrejesho maana nimesahau hata kuliza lini wanatoa majibu rasmi na kupewa barua za vituo vya kaz.
hahahhahahahahhaUn
Unaleta mbwembwe? Utapigwa mshangao wa Hatari
siku hizi utaratbu umebadilika.Majibu ni huwa baada ya wiki tatu jamaa yangu
Watu wameitwa. Rafiki angu aliomba nafasi ya secretary anamalizia training leo apangiwe kituo cha kazi.Hizi nafasi Mbona sijaona orodha ya walioitwa kazini.