Oprah Winfrey told she can't afford an expensive handbag

Oprah Winfrey told she can't afford an expensive handbag

Misunderstanding iko wapi hapo...umemwambia mtu hawezi bei ya bidhaa.nukta!
Hamna cha ku-misundertand hapo kamanda.

Difficult to tell bearing in mind English ya huyo shop assistance ilikuwa siyo nzuri.

Hata hivyo, hii si mara ya kwanza. Mwaka 2005 Oprah alikataliwa kuingia kwenye posh store huko Paris.
 
Unaijua hii kesi?

Naijua ndiyo.

Bottom line, Oprah ni prima donna. Anapenda preferential treatment kwa vile tu yeye ni Oprah.

Na kwanza waliompa utajiri ni hao hao wazungu! Kile kipindi chake maarufu kilikuwa kina cater kwa wanawake wa kizungu zaidi na wao ndiyo walikuwa audience yake kubwa.

Kwenye black community wengi walikuwa hawana muda wa kupoteza kukiangalia.
 
Difficult to tell bearing in mind English ya huyo shop assistance ilikuwa siyo nzuri.

Hata hivyo, hii si mara ya kwanza. Mwaka 2005 Oprah alikataliwa kuingia kwenye posh store huko Paris.

Alikataliwa bila sababu? Au alitaka kuingia mida ambayo hawako open for business kwa vile tu yeye ni Oprah?
 
Tuna paranoia flani ya kujiona ni victims wa hiyo kitu hasa pale ambapo kuna mzungu
involved.

Labda nae anaweza kuwa na hii kadi?


racecard.jpg
mckinney-race-card.jpg


racecard.jpg
 
Alikataliwa bila sababu? Au alitaka kuingia mida ambayo hawako open for business kwa vile tu yeye ni Oprah?

Wenye store walidai walikuwa hawaruhusu mtu yoyote kwa sababu kulikuwa na function iliyokuwa ikiendelea kwenye store.
 
Wenye store walidai walikuwa hawaruhusu mtu yoyote kwa sababu kulikuwa na function iliyokuwa ikiendelea kwenye store.

Hahahaaa unaona sasa....hapo usikute yeye kwa vile ni Oprah aliona anastahili tu kuingia muda wowote ule.

Oprah can't even relate to the hood.
 
who is Cynthia Mckinney ?

Cynthia Ann McKinney (born March 17, 1955) is an American politician and activist.

As a member of the Democratic Party, she served six terms in the United States House of Representatives.

In 2008, the Green Party of the United States nominated McKinney for President of the United States.

She was the first African-American woman to represent Georgia in the House.

https://en.wikipedia.org/wiki/Cynthia_McKinney
 
Nilikuwa curious kujua why na yeye ametuhumiwa kutumia racecard...

Oh, achana na hizo kadi alizoweka EMT.

Usikute zimetengenezwa na kuweka kwenye mtandao na watu wenye ajenda zao tu.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Inasemekana bei ya handbag yenyewe ilikuwa ni USD 35,000 halafu wewe eti unataka kuiangalia wakati hata hujapaka wanja? lol.

There is a big political raw in Switzerland in relation to discrimination of immigrants and asylum seekers.

Swiss in a multicultural bunch speaking about four different national languages. It is a country of immigration with many people going there to work.

It has been said that the Swiss are open on one side, but at the same time it is quite difficult to join their club.
Mungu wangu - hapo unapata gari mpya kabisa, tena sio kivitz!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hahahaaa unaona sasa....hapo usikute yeye kwa vile ni Oprah aliona anastahili tu kuingia muda wowote ule.

Oprah can't even relate to the hood.

In the latest incident she said: "I could've had the whole blow-up thing and thrown down the black card but why do that but that clearly is you know … it (racism) still exists, of course it does."

Ironically, the owner of the shop is believed to have also attended Tina Turner's wedding.

But Oprah main concern has always not been about racism, but sexism.

For example, when she was asked if anyone had ever called her the 'N- word', she said no one in their right mind would call her that to her face, but that racism showed itself in other ways.

"It shows up for me this way. Sometimes I'm in a boardroom or I'm in situations where I'm the only woman, I'm the only African American person within a 100-mile radius and I can see in the energy of the people there, they don't sense that I should be holding one of those seats.

"I can sense that. But I can never tell is it racism, is it sexism, because often it's both. I mean the sexism thing is huge. The higher the ladder you climb it gets huge, because men are used to running things."

Source: Oprah Winfrey 'Victim Of Racism' In Swiss Shop
 
... one of those complex societal issues oscillating between racism and ignorance.
... why I say complex; well, would the shop attendant had been black I bet Oprah would have insisted on buying that handbag just as so to teach the 'broda/sista' a lesson, be in a good or bad way as to who she really is, but also that not watching the Oprah show was some sort of a crime which manifested itself to ignorance of not being able to recognize an A-List like her. She chose not to I guess out of preconception that- that had been an outright racism but only that she didn't want to make a scene.

... hebu jiulize tu, ni mara ngapi umeenda pahala haswa mahotelini hapa hapa Bongo na ukaulizia kitu kwa muhudumu aliye mweusi mwenzio - bila shaka kuna chances kubwa kwamba kabla hata haujasema unataka first class tayari atakuwa ameshakuchagulia huduma za third or second class kimoyomoyo. Wakati akiingia mteja 'Mzungu' option za kwanza atakazotajiwa ni zile za first class. Hii ipo kwenye booking shops, maduka, etc. Jambo kama hili wanapotufanyia weusi wenzetu wala hatushtuki sana, tunasema tu ujinga au kutojua mimi nani, ila afanye 'Mzungu' sasa...

... by all means you couldn't defend racism nor political-correctness gaffe in today's life, but again I think racism card get pulled out way too easily in circumstance which if the supposedly wrongdoers were to be broda or sistas such incidents would otherwise be labelled ignorance. As such... the obvious question here would then be, are we trying to suggest that ignorance doesn't exist in 'white societies'?!
 
I have been to Switzerland na iwapo sijakuwepo hapo niko convinced kuwa hiyo inauwezekano mkubwa zaidi wa kuwa ukweli.

Zurich hata ukifika Airport tu kuna polisi wanasimama mlangoni mwa ndege kuscreen watu weusi!!!
 
Misunderstanding iko wapi hapo...umemwambia mtu hawezi bei ya bidhaa.nukta!
Hamna cha ku-misundertand hapo kamanda.

Oprah alikosea sana, alitakiwa amwambie huyo binti bei ya mabegi yooote kabisa yaliyokuwemo kwenye shelf anunue.
 
... by all means you couldn't defend racism nor political-correctness gaffes in today's life, but again I think racism card get pulled out way too easily in circumstance which if the supposedly wrongdoers were to be broda or sistas such incidents would otherwise be labelled ignorance. As such... the obvious question here would then be, are we trying to suggest that ignorance doesn't exist in 'white societies'?!

Hii imetokea Florida mwezi ulopita. Madogo watatu weusi walimpa kibano dogo mmoja wa kizungu kwenye school bus. Haija make headlines kihivyo. Why? Had it been the other way round there would have been marches and speeches like never before. Why?

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom