Oprah Winfrey told she can't afford an expensive handbag

Oprah Winfrey told she can't afford an expensive handbag

Marekani walipigana vita vya wenyewe kwa wenyewe karne ya 17. Hakuna dalili kama vita ya wenyewe kwa wenyewe au vita ndani ya American Soil inaweza kutokea anytime soon.

Mmarekani can affrod to think US is the World, an African (and hence a Tanzanian) can not...

Ilikuwa ni karne ya 19. Kuanzia mwaka 1861 hadi 1865.
 
Ebu someni kipande cha mahojiano ya BBC na mmiliki wa duka hasa hapo kwenye red. Hivi hawa spoilt customers ni watu gani?
Shop owner Trudie Gotz told the BBC that Winfrey was "absolutely allowed" to look at the $35,000 (£22,500) bag, which was kept behind a screen.
"My salesperson wanted to give her the handbag in her hand. But she didn't want to take the bag," claimed Gotz.
She said her assistant had worked in the Trois Pommes store "for a few years and takes care of the most spoilt customers from all over the world", adding, "she is really a correct sales person".


BBC News - Oprah Winfrey 'racism row' a 'misunderstanding'
 
Yap, mhudumu alikuwa na haki ya kumwambia kuwa hawezi bei yake, hiyo fedha ni sawasawa na shilingi za kitanzania 57,750,000.00
Inasemekana bei ya handbag yenyewe ilikuwa ni USD 35,000 halafu wewe eti unataka kuiangalia wakati hata hujapakwanja? lol.

There is a big political raw in Switzerland in relation to discrimination of immigrants and asylum seekers.

Swiss in a multicultural bunch speaking about four different national languages. It is a country of immigration with many people going there to work.

It has been said that the Swiss are open on one side, but at the same time it is quite difficult to join their club.
 
Yap, mhudumu alikuwa na haki ya kumwambia kuwa hawezi bei yake, hiyo fedha ni sawasawa na shilingi za kitanzania 57,750,000.00
Ule mkoba nina wasiwasi ulikuwa "sembe"... si mnawajua waswisi kwa madili...ya kuua vizazi...wameficha pesa zawezi wetu watashidwa kutengeneza sembe...!!
 
Mi nafikiri hii ni political movement for swiss to change their rules on asylum and migrants status..
 
Matendo yetu na umasikini wetu ndiyo yanasababisha kuwa demonised sehemu nyingi za 'bei mbaya'.

Siyo jambo la ajabu ukiingia sehemu yoyoye ile inayouza vitu vya bei 'mbaya', body language ya walinzi na wahudumu utaiona inavyokuwa na mashaka na wewe. Unaangaliwa sana kwa kila unachokifanya, bahati mbaya zaidi, walinzi wengi wanaokufuatlia sana nyendo zako wanakuwa ni watu wenye rangi kama yako.

Pamoja na kuwepo kimaandishi kwa falsafa ya Presumption of innocence katika nchi za magharibi lakini mara nyingi kinachofanyika ni kinyume chake.

Huu uzoefu nimeupata sana katika nchi za Europe. Inaumiza sana kuona unaangaliwa na kufuatiliwa na walinzi wakati anafanya shopping dukani.
 
  • Thanks
Reactions: kui
[h=5]NI UBAGUZI WA RANGI AU?


Je unamfahamu Oprah Winfrey? nchini Switzerland wengi hawamfahamu Oprah.

Mama MMOJA muuza duka alikataa kumuuzia Oprah Winfrey Handbag ya Pauni 24,477 baada ya kumwaMbia kuwa hawezi kuimudu bei hiyo.

Oprah ambaye ni BILIONEA pekee mwanamke MWENYE ASILI YA kiafrika aliondoka kwenye duka hilo bila kuzua rabsha zozote..........lakini hebu takari ikiwa angejitambulisha kwa muuza duka hali ingekuwa vipi? Mmiliki wa duka hilo ameomba radhi kwa hilo........Kumuka kuwa Oprah ana uwezo wa kununua chochote akitakaco katika dunia hii........lakini muuza Handbag kamwambia hawezi kumudu handbag?
[/h]
1004513_628543970497605_1677834257_n.jpg




CHANZO.BBC
 
Oprah alikuwa kitafuta vipi atayarishe show yake na ndio kapata hapo
Anyway ubaguzi upo na wala hauondoki
 
Oprah alikuwa kitafuta vipi atayarishe show yake na ndio kapata hapo
Anyway ubaguzi upo na wala hauondoki

soo true hapo, ni kujua jinsi gani kukabiliana na ubaguzi. I.m glad sipo sensitive na ubaguzi na nimefika sehemu nyingi sana tena weusi wachache/wa kuhesabika ila sijawahi kuhukumu watu fulani ni wabaguzi hata kama nilipatwa na 'incidence' gani..!!
ubaguzi upo na hauwezi kuishi duniani.. Sema inshu ya huyu mama sijamsoma vizuri!!
 
oh waoh!!! Its like working like undercover boss,utajua mengi. Yah racism ipo tuu ila nachoamini hakuna cha nini wala nini ni wivu tuu coz how they wish they cud be like us,but its not possible!! Tumewapita mbayaaa!
I went somewhere kulikuwa na whites wengi,gud or bad luck
nlikuwa black alone .
Wakaka walikuwa wananiangalia kwa kumeza mate,wadada walikuwa wananiangalia like waoh i wish i wish!
Ila nliekua nae akasema ni wivu hapa wanakutamani na kushangaa huyu black kafikaje apa!
Yani ukipita mtu anakuwa na jicho la chuki as if unamwibia bf wake ama mkewe.
Its so sad jaman .

Au unaweza kutana na kitoto cha kizungu kinakuangalia kama yupo zoo!!!
Badilisha hiyo avatar yako basi kama unamaanisha unachosema
 
Mshaanza kuchakachua...bei yake ni $35,000

Nimeangalia CNN this morning na Don Lemon kasema ni 38K.
Jamani hata mastaa wetu wa bongo mbona wanamiliki purses expensive zaidi ya hiyo iliomletea Oprah zahma
 
Haya mambo hata bongo yapo kuna siku nilikwenda posta Dar. kuna duka moja linaitwa JD Shop la wahindi.

Wanauza suti na viatu, wakati nimo ndani naangalia nguo mara akaingia jamaa mmoja dukani, yule muhudumu aliyekuwa ananihudumia mie anamwambia muhudumu mwenzake msikilize huyo pasi ya mkaa.

Nikamuuliza kwa nini unamuita pasi ya mkaa akanijibu hawezi kununua kiatu laki na nusu au suti laki 4.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kweli, Oprah alikosea; pale angemwonyesha huyo mhudumu jeuri ya pesa. Tena angenunua begi hilo kwa cash na kumwachia huyu mhudumu tip ambayo hatoisahau maishani mwake.

You know Oprah is a mature lady and she handled the situation accordingly. Angekuwa kadada kaliko pinda kama Nicki Minaj angemuonyesha credit card balance halafu hizo figures zingefanya hako kajizungu kapige magoti.
Ubaguzi bado upo sana hasa kwenye ulaya ya wazungu ambao hawahusudu kuchanganya race. Nazi like miniacs
 
[video=youtube_share;P6V7BJC_2aE]http://youtu.be/P6V7BJC_2aE[/video]


Oprah Winfrey, one of the world’s richest women and last month topped Forbes’ list of 100 most powerful celebrities, was told by a shop assistant in Switzerland that she can't afford expensive handbag.The US talk show host, 59, says she was the victim of racism during a visit to Switzerland where she was attending Tina Turner’s wedding last month.

Winfrey said a shop assistant refused to serve her in an upmarket Zurich handbag shop, having said the bags on offer were “too expensive” for her. The TV star said she left the shop without contesting the shop assistant’s behaviour but contributed her experience to a debate about the continued existence of racism on a US television show.

Winfrey told Entertainment Tonight: "I was in Zurich the other day, in a store whose name I will not mention. I didn't have my eyelashes on, but I was in full Oprah Winfrey gear. I had my little Donna Karan skirt and my little sandals. But obviously The Oprah Winfrey Show is not shown in Zurich.”

"I go into a store and I say to the woman, 'Excuse me, may I see the bag right above your head?' and she says to me, 'No. It's too expensive.'" When Winfrey insisted she did want to see the bag the shop assistant allegedly replied: "No, no you don’t want to see that one, you want to see this one because that one will cost too much. You will not be able to afford that."

Winfrey, who is a billionaire, continued: "There's two different ways to handle it. I could've had the whole blow-up thing... but [racism] still exists, of course it does." Blick newspaper reported that Trudie Goetz, the owner of the boutique Winfrey was allegedly talking about, Trois Pommes, had apologised for the incident and called it a “misunderstanding”.

Oprah’s allegations come amid a political row over plans by some Swiss towns to ban asylum-seekers from frequenting public places such as school playgrounds, swimming pools and libraries. The draconian restrictions have been likened to Apartheid and angrily denounced by human rights groups as intolerable and racist.

Switzerland plays host to almost double the number of asylum-seekers per head of population of its European neighbours. It counts one refugee for every 332 inhabitants, compared to one per 625 inhabitants on the rest of the continent. Some 48,000 refugees are currently seeking asylum in Switzerland.

In June this year voters took part in a referendum which overwhelmingly backed moves to tighten asylum restrictions amid fears voiced by the popular right-wing Swiss People’s Party that the country was being inundated with refugees.

Source: Oprah Winfrey 'victim of racism' in Switzerland: Billionaire told she can't afford expensive handbag - News - TV & Radio - The Independent

eeeehhh,,,,, hivi huyo Tina Turner bado anaolewa olewa tu?! Au siyo ninayemfahamu?
 
Oprah alitakiwa kusema 'what have you said? ok, give me ten pieces... wazungu hawapendi kutumwa na waafrica. nilienda nchi moja sasa pale hotelini nilipofikia chini kuna counter nikawa nakunywa soda pale na wenzetu na wao ni wa asiri ya kiafrica ila wako huko huko (wenyeji) tunaongeaongea, basi yule muhudumu mdada wa kizungu alikuwa amekasirika kimoyomoyo sana.Akaamua kuweka channel moja ambayo inonyehsa documentaries za matatizo ya waafrica full time. Jamaa niliokuwa nao walikua wamepinda wakaanza kuagiza pombe na kuagize hiki na kile kila wakati na tukakaa zaidi ya tulivyokua tumepanga kuwepo hapo counter. dada alibadilika rangi ya uso lakini tukakomaa nae
 
Back
Top Bottom