Oprah Winfrey lands in Serengeti for private visit

Oprah Winfrey lands in Serengeti for private visit

Mawazo ya kipunguwani kabisa haya..wakenye sio mabwege kama mlivyo watanzania mnashabikia vitu visivo na tija na maana katika maisha yenu


Very true indeed. Huyu atakuwa ni mbongo fleva artist, muuza unga au mtu aliyepata fursa ya kuwa na smart phone hivi karibuni hivyo ana itest na app ya JF. Usiwe na hasira naye ila inabidi tumpe pole tu.
 
Wacha alete mpunga na kuendelea kutangaza utalii wa bongo. lakini mbona amekuja msimu sio wa kwenda serengeti maana hataweza kuona immigration ya wanyama .... ..... ..... .... sio neno ataona vilivyopo.

Jamani mbona wanazidi kuwaliza Manyang'au? Hapo ni wageni wa uhakika wanaolipa kwa pesa za kigeni bila maloloso yoyote na atakuwa na team nzima sasa subiri akirudi USA atoe misifa ya serengeti .... ....tutegemee watalii wanaolipa zaidi kutoka USA sio back packers wanaokwenda masai mara ..... ...
 
Serengeti, the country's second largest National Park, ????????

Inategemea .... .... .... kwa revenue mount Kilimanjaro inaongoza then Serengeti halafu pale walipo Tembo kibao karibu na Arusha guess where? hata JF members walivinjari pale mwaka jana au juzi .... .... .ooops nimechahau ... ..
 
kweli mkuu.huyu mama hata uezekaji wake unatia shaka.ni kama anakuwa kijana vile.inasemakana chekbob jemmy fox kagonga sana mzigo wa huyu bmkubwa.lol.
Afadhali mmejua aliyewahi kugongana naye, kama isingejulikana na ikawa siri yake angepakaziwa kuwa ni msagaji.
 
Isije kuwa kakosa booking hoteli za Kenya, ndio kaamua kuja huku kama plan B
 
Wakenya mwaka huu wivu utawatoa roho wakisikia na hii.

Tusijilinganishe na Kenya, wakati wa season celebrities wengi duniani wanaenda kupumzika kule, hawatangazi Kwan wao ni kawaida. Wale matajiri wote wana lodges zao pwani yote ya Kenya na mbugani pia. Mgeni mmoja tu tunapiga kelele
 
Tusijilinganishe na Kenya, wakati wa season celebrities wengi duniani wanaenda kupumzika kule, hawatangazi Kwan wao ni kawaida. Wale matajiri wote wana lodges zao pwani yote ya Kenya na mbugani pia. Mgeni mmoja tu tunapiga kelele

Nani amekwambia mgeni moja. OW sio mgeni moja hilo alifu then kama una kumbukumbu kama mimi Bill Gates kila mwaka anatua Bongo .... .... .... BO pamoja na GB. Chacha njomba unachema ngeni moja wakati barabara zinafungwa are you serious? Wacha wabongo wasema wanachotaka kusema maana hili ndilo jukwaa lao au unataka wakuache useme peke yako?


BTW Manyang'au hawana sababu ya kuja kuandika JF si waandike kwenye blog zao?
 
Unajua tz pato lake la taifa inategemea asilimia ngapi kupitia sector ya utalii??unajua ujio kama wa oprah unaitangaza nchi kwa kiasi gani duniani?


Kweli kabisa Mkuu.......pia nashukuru sana kwa Ziara ya Obama Tanzania....kwani imenipunguzia mzigo wa maswali mengi kuhusu Tanzania iko wapi (wengi walikuwa hawaijui...).....yaani baadhi ya watu wenye umri kama wangu ndio angalau wanakumbuka kuwa kulikuwa na Rais mmoja maarufu kutoka Afrika i.e. Julius Nyerere.....si utani Nyerere alii-market sana Tanzania na Afrika kwa ujumla.....
.....sasa maswali mengi yanayonikumba ni watu wanataka kujua zaidi na kuja Tanzania (just kwa sababu Obama alikuwa huko juzi juzi).....hivyo kwa maana nyingine imenifanya sasa niwe na kazi kubwa zaidi ya kutoa information za utalii kuhusu Tanzania........
 
Well done Oprah. It is our high turn to capitalize this great opportunity for our popular tourist destination promotion
 
Nilikuwa ninamkubali sana huyu mama kama mwanamke mpiganaji
nilishtuka tu niliposikia katabia kake ikabidi niachane naye.
 
Serengeti, the country’s second largest National Park, ????????

Huamini?
Selous ndio inaongoza. Iko mikoa almost minne (Moro, Ruvuma, Lindi na Pwani), sio mbuga ndogo.
 
Hivi huyu mama ndo kusema hana mume kabisa au mda ndo ushakataa?
 
Nilikuwa ninamkubali sana huyu mama kama mwanamke mpiganaji
nilishtuka tu niliposikia katabia kake ikabidi niachane naye.

kwangu mimi nimejifunza mambo mengi sana kutokana na vipindi vyake hasa mambo ya kumanage finance zangu kusave na weight management ingawa bado sijaweza kupractice mambo ya weight lakini nin marafiki wengi sana ambao wamefanikiwa kwa kufuata kanuni zinazotolewa na wataalamu waaliokuwa wanaalikwa kwenye vipindi vyake. Ningependa kukutana naye
 
Nani amekwambia mgeni moja. OW sio mgeni moja hilo alifu then kama una kumbukumbu kama mimi Bill Gates kila mwaka anatua Bongo .... .... .... BO pamoja na GB. Chacha njomba unachema ngeni moja wakati barabara zinafungwa are you serious? Wacha wabongo wasema wanachotaka kusema maana hili ndilo jukwaa lao au unataka wakuache useme peke yako?


BTW Manyang'au hawana sababu ya kuja kuandika JF si waandike kwenye blog zao?
I was following your arguments and all of a sudden I got lost somewhere somehow!!!! Bill Gates, Barack Obama and Oprah only those three. Kufunga barabara kuna uhusiano gani sijaelewa na hii
 
I was following your arguments and all of a sudden I got lost somewhere somehow!!!! Bill Gates, Barack Obama and Oprah only those three. Kufunga barabara kuna uhusiano gani sijaelewa na hii

At least I lost you in a jungle ...... ........ . . .... ... BO (Baraka Obama) alipokuwa Dar pamoja na kuwa joined na GB George Bush). BO alikaa Kilimanjaro Hotel wengine wanaita Kempsiki chijui chiku hizi barabara zilifungwa katika kipindi alichokuwa pale ..... ........ ... ... ..... ....... vile vile alikuwa na wapambe kibao hata OWhakwenda Serengeti bila kuwa na wapambe kibao pamoja na marafiki .... ... ... ..
 
Back
Top Bottom