Makame na wenzie wako Dar, Kura zinahesabiwa Katoro wakiwemo mawakala wa vyama, hapo makame etal wanahusika vipi? hata akija Bisimba naye hatakuwepo kwenye kuhesabu wala kujumlisha hizo kura. yatakuwa yale yale. Nadhani sheria za uchaguzi ndizo hasa za kuangaliwa upya.