Alienda siku moja UDSM kusuluhisha mgomo wa wanachuo akataka kuongea nao pale 'swimming pool' wakaja walipomsikia anatoa pumba wakataka kumpopoa kwa mawe aliokolewa na polisi otherwise ingekuwa hatari kwake.Shukuru Kawambwa sijui analalia bahati gani? Akiwa miundo mbinu aliboronga vibaya na hadi sasa Magufuli anahangaika na madeni. Tanraods ilikuwa tatizo baada ya kushindwa kumuwajibisha mkurugenzi, pia ni chini ya Shukuru Kawambwa ATCL waliingia kwenye huu upatu wa kukodisha ndege mbovu! Sasa yuko elimu ambako mambo viwango vya elimu vinazidi kuporomoka. Sijui alikuwa anafanya nini huyu bwana kabla ya kuingia kwenye siasa lakini kwa hakika hana la maana alilifanya. Ohhhh alikuwa mifugo na uvuvi - zero!
hapo umenena!!... hakuna Waziri Mbovu, ubovu ni kwa Mtengeneza Mawaziri!!
Mimi simshangai hata kidogo kwa maana nasikia ameteuliwa na Mkuu wa kaya nafasi hizokwa vile ni ndugu wa karibu! Si mnaelewa uteuzi wa John Walker? Kajaza ndugu jamaa na marafiki kuanzia Jeshi la Polisi, JWTZ, Usalama wa Taifa, Ma DC, ma RC, hadi Ikulu kwenyewe! Anahangaika nao mithili ya mwenye kushika kaa la moto likimchoma mkono huu anahamishia mkono mwingine. Si mlimwona "Mzee wa vi trilioni" alivyokurupuka na kuweweseka wakati wa kampeni za 2010? Kwa mtaji huu wa kuchakachua asasi nyeti CCM wamejimaliza. Wasubiri hukumu ya umma.Shukuru Kawambwa sijui analalia bahati gani? Akiwa miundo mbinu aliboronga vibaya na hadi sasa Magufuli anahangaika na madeni. Tanraods ilikuwa tatizo baada ya kushindwa kumuwajibisha mkurugenzi, pia ni chini ya Shukuru Kawambwa ATCL waliingia kwenye huu upatu wa kukodisha ndege mbovu! Sasa yuko elimu ambako mambo viwango vya elimu vinazidi kuporomoka. Sijui alikuwa anafanya nini huyu bwana kabla ya kuingia kwenye siasa lakini kwa hakika hana la maana alilifanya. Ohhhh alikuwa mifugo na uvuvi - zero!
Wakuu miongoni mwa mawaziri wasistahili uteuzi wao ni Shukurukawambwa,tangu wizara ya miundombinu sasa wizara ya elimu ndo inaporomoka kwa kasi. My take mtazamo wangu wakuu nawasilisha
... hakuna Waziri Mbovu, ubovu ni kwa Mtengeneza Mawaziri!!
Wakuu miongoni mwa mawaziri wasistahili uteuzi wao ni Shukurukawambwa,tangu wizara ya miundombinu sasa wizara ya elimu ndo inaporomoka kwa kasi. My take mtazamo wangu wakuu nawasilisha
Hivi Kawambwa na Ngeleja yupi mbovu zaidi?
Mkuu FJM nimekuwa nikisikia madeni hayo ya tanroads. Hivi yametokana na ni nini? Nani kayasababisha?Shukuru Kawambwa sijui analalia bahati gani? Akiwa miundo mbinu aliboronga vibaya na hadi sasa Magufuli anahangaika na madeni. Tanraods ilikuwa tatizo baada ya kushindwa kumuwajibisha mkurugenzi, pia ni chini ya Shukuru Kawambwa ATCL waliingia kwenye huu upatu wa kukodisha ndege mbovu! Sasa yuko elimu ambako mambo viwango vya elimu vinazidi kuporomoka. Sijui alikuwa anafanya nini huyu bwana kabla ya kuingia kwenye siasa lakini kwa hakika hana la maana alilifanya. Ohhhh alikuwa mifugo na uvuvi - zero!