mngony JF-Expert Member Jul 27, 2012 5,212 6,409 Apr 3, 2017 #82 Hatari kwa sana kwa usalama wa Taifa letu
P Phillemon Mikael Platinum Member Nov 5, 2006 10,535 8,620 Apr 3, 2017 Thread starter #83 daud magigo said: ZILE NGOMBE TULIZOPEWA NA KAGAME ZIKO WAPI? Click to expand... Zinatutokea puani....
daud magigo said: ZILE NGOMBE TULIZOPEWA NA KAGAME ZIKO WAPI? Click to expand... Zinatutokea puani....
B Bayyo JF-Expert Member Apr 2, 2012 1,819 2,910 Apr 3, 2017 #84 wengine hapa mnafanya siasa wakati rasilimali zetu zinateketea... heko mamlaka ya wanyamapori tanzania kuthubutu kuondoa ng'ombe huko hifadhini
wengine hapa mnafanya siasa wakati rasilimali zetu zinateketea... heko mamlaka ya wanyamapori tanzania kuthubutu kuondoa ng'ombe huko hifadhini