Kesho hapatoshi nmc,. Ila ka nimeona mgambo wanamanguo yao ya kijivu wanazunuka mitaa ya soko kuu,. Sjui ndo kwajili ya kesho
mimi sivui.....nimevaa siku nyingi sana......
gwanda is there to stay.......napendezajeeeee........
Soko ambalo Ccm ina bei ni kwa wananchi wote wanaopenda nchi yao na ambao hawana akili za kufuata upepo wa uanaharakati usio uanaharakati. Kwa kifupi ni kwamba Ccm ina soko kwa wapenda maendeleo wote wa nchi yetu nzuri ya Tanzania.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
mkuu....maji yaliyotulia ndio hukuzamisha.....achana na maji yanayokwenda kasi......
Unadhani kuna nchi gani hapa duniani ambayo kila mwananchi anapata mahitaji yote mhimu kwa binadamu kwa ghafla pasipo utaratibu?. Mtoto mwenyewe haanzi kwa kukimbia, anaanza kutambaa kwanza and then ndiyo anaanza kukimbia. Kwa hiyo kadri siku zinavyosonga mbele, hayo yote yatakuwa historia tu.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Soko ambalo Ccm ina bei ni kwa wananchi wote wanaopenda nchi yao na ambao hawana akili za kufuata upepo wa uanaharakati usio uanaharakati. Kwa kifupi ni kwamba Ccm ina soko kwa wapenda maendeleo wote wa nchi yetu nzuri ya Tanzania.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Ni kesho jumamosi tar 5-may-12....viwanja vya NMC (Tahrir Squire)...Arusha, kuanzia saa saba mchana....
ukisoma tangazo hili....mjulishe na mwenzio....
M4C....daima....
shem...Ngorika ya kwanza inatoka Dar saa kumi na mbili kamili asubuhi....inafika Arusha saa tano kabla ya lunch....utawahi vizuri....
shem...Ngorika ya kwanza inatoka Dar saa kumi na mbili kamili asubuhi....inafika Arusha saa tano kabla ya lunch....utawahi vizuri....
mmmh! Hivi hii bus siku hizi imo katika ule mradi wa mabasi yaendayo kasi??? LAVU U PRETA!!
Ni kesho jumamosi tar 5-may-12....viwanja vya NMC (Tahrir Squire)...Arusha, kuanzia saa saba mchana....
ukisoma tangazo hili....mjulishe na mwenzio....
M4C....daima....