Operesheni ua utalii Tanzania

Rashda Zunde

Senior Member
May 28, 2022
199
231
Ni mchezo mchafu unaoratibiwa na washindani wa utalii wa Tanzania kwa ufanisi mkubwa kutumia watanzania wenyewe kupitia upotoshwaji kuhusu mazoezi mawili tofauti LOLIONDO na NGORONGORO.

Wanapotosha makusudi huku wakijua kuwa hakuna mtu hata mmoja aliyehamishwa Loliondo kwa kuwa kinachofanyika ni kuweka alama kuzunguka KM za mraba 1500 na kuwaachia wananchi KM za 2500 kati ya KM za mraba 4000 ambazo zote zilikuwa ni sehemu ya Pori Tengefu la Loliondo ambazo kisheria haziruhusiwi kutumika.

Pamoja na hujuma za kiushindani wa utalii na mkakati wa nchi jirani kuua utalii wa Tanzania kwa kuzuia Serengeti na Ngorongoro kutumia wenyeji wa maeneo hayo ili kurahisisha kuimarika biashara ya utalii nchini mwao.

Yabainika pia matajiri wa nchi hiyo jirani wazitumia Ngorongoro na Loliondo kama malisho ya kunenepesha mifugo yao kisha kuiuza kwa mamilioni ya pesa huku ikolojia ya utalii wa Tanzania ikiharibika vibaya.
 
..tuache ujinga wa kusingizia kila tatizo letu limesababishwa na Wakenya.

..lawama dhidi ya Wakenya zilikuwepo tangu enzi za Mwalimu Nyerere ambapo lawama za uhaba wa bidhaa hapa nchi ziliekezwa kwa Kenya na kuvunjika kwa jumuiya ya Afrika Mashariki.

..fikra za namna hiyo zinatunyima nafasi ya kuchunguza mapungufu yetu ya ndani ili tuweze kujisahihisha.
 
Siwapendi ila kwenye nyanja za kibiashara wako mbele sana

Tujipange sana kuwapita hawa au kuwakaribia kwani wao likija suala la kazi wanapambana haswa na wanajali ajira zao

Miaka ya 60 mpaka ya 70 walikuwa wanaleta bidhaa kwa magari toka Kenya wakati Sisi tumelala mpaka leo
Madawa tuliwategemea wao
Maduka yetu yalijaa bidhaa zao kama Dawa za mswaki, Sabuni mpaka na kila kitu

Leo hakuna haja ya kuwalaumu Sisi tujipange kivyetu tu na tuwe na uaminifu kwenye utendaji wetu wa kazi na kujituma haswa

Wapo wenzetu ambao ndio wanachangia sintofahamu hizi mpaka PM akasema wana siasa waache maneno

Blah blah nyingi halafu tuko pale pale
 
Wanapotosha makusudi huku wakijua kuwa hakuna mtu hata mmoja aliyehamishwa Loliondo kwa kuwa kinachofanyika ni kuweka alama kuzunguka KM za mraba 1500 na kuwaachia wananchi KM za 2500 kati ya KM za mraba 4000 ambazo zote zilikuwa ni sehemu ya Pori Tengefu la Loliondo ambazo kisheria haziruhusiwi kutumika.
Hivi hamchoki na upuuzi wenu huu?

Hizi 'propaganda' za kijinga mnadhani mnawaelezea wapumbavu wasioweza kutambua kitu?

Unashindwa kusimamia raslimali zako mwenyewe, halafu unakimbilia kupiga propaganda chovu namna hii, ni mpumbavu tu anayeweza kukuamini.

Yoote yaliyokwishaandikwa ndani ya Jukwaa hili la JF kuhusu maswala haya haya, ni kitu gani kinachokufanya wewe udhani unayo taarifa mpya ambayo wasomaji wako wataipata na kuelewa tatizo lililpotokea.
Mbona haya uliyoweka hapa ni kama wimbo wa kichaa, aurudiarudia tu kwa watu wale wale?

Mnatuchosha sasa na ujinga wenu.
 
Kenya hana chake tena! The sleeping Giant Tanzania keshaamka! Kamwe hutosikia anatuchezea tena

Message imetumwa leo, CDF Mstaafu kapewa uenyekiti wa bodi Ngorongoro
 
..tuache ujinga wa kusingizia kila tatizo letu limesababishwa na Wakenya.

..lawama dhidi ya Wakenya zilikuwepo tangu enzi za Mwalimu Nyerere ambapo lawama za uhaba wa bidhaa hapa nchi ziliekezwa kwa Kenya na kuvunjika kwa jumuiya ya Afrika Mashariki.

..fikra za namna hiyo zinatunyima nafasi ya kuchunguza mapungufu yetu ya ndani ili tuweze kujisahihisha.
UVCCM wao wanalipwa usihangaike nao
 
Hivi hamchoki na upuuzi wenu huu?

Hizi 'propaganda' za kijinga mnadhani mnawaelezea wapumbavu wasioweza kutambua kitu?

Unashindwa kusimamia raslimali zako mwenyewe, halafu unakimbilia kupiga propaganda chovu namna hii, ni mpumbavu tu anayeweza kukuamini.

Yoote yaliyokwishaandikwa ndani ya Jukwaa hili la JF kuhusu maswala haya haya, ni kitu gani kinachokufanya wewe udhani unayo taarifa mpya ambayo wasomaji wako wataipata na kuelewa tatizo lililpotokea.
Mbona haya uliyoweka hapa ni kama wimbo wa kichaa, aurudiarudia tu kwa watu wale wale?

Mnatuchosha sasa na ujinga wenu.
CCM wanajua kula pekee na siyo kutafuta
 
Ni mchezo mchafu unaoratibiwa na washindani wa utalii wa Tanzania kwa ufanisi mkubwa kutumia watanzania wenyewe kupitia upotoshwaji kuhusu mazoezi mawili tofauti LOLIONDO na NGORONGORO.

Wanapotosha makusudi huku wakijua kuwa hakuna mtu hata mmoja aliyehamishwa Loliondo kwa kuwa kinachofanyika ni kuweka alama kuzunguka KM za mraba 1500 na kuwaachia wananchi KM za 2500 kati ya KM za mraba 4000 ambazo zote zilikuwa ni sehemu ya Pori Tengefu la Loliondo ambazo kisheria haziruhusiwi kutumika.

Pamoja na hujuma za kiushindani wa utalii na mkakati wa nchi jirani kuua utalii wa Tanzania kwa kuzuia Serengeti na Ngorongoro kutumia wenyeji wa maeneo hayo ili kurahisisha kuimarika biashara ya utalii nchini mwao.

Yabainika pia matajiri wa nchi hiyo jirani wazitumia Ngorongoro na Loliondo kama malisho ya kunenepesha mifugo yao kisha kuiuza kwa mamilioni ya pesa huku ikolojia ya utalii wa Tanzania ikiharibika vibaya.
Watu hawaamishwi?wanahama kwa hiari!wanahamishwa kwa hiari?kule Tanga,zile nyumba zimejengwa za nini?hii serikali inawezekana haifanyi madudu,lakini haiaminiki,hatujasahau waliposema JPM yupo anachapa kazi,kumbe ameishakufa!
 
Ni mchezo mchafu unaoratibiwa na washindani wa utalii wa Tanzania kwa ufanisi mkubwa kutumia watanzania wenyewe kupitia upotoshwaji kuhusu mazoezi mawili tofauti LOLIONDO na NGORONGORO.

Wanapotosha makusudi huku wakijua kuwa hakuna mtu hata mmoja aliyehamishwa Loliondo kwa kuwa kinachofanyika ni kuweka alama kuzunguka KM za mraba 1500 na kuwaachia wananchi KM za 2500 kati ya KM za mraba 4000 ambazo zote zilikuwa ni sehemu ya Pori Tengefu la Loliondo ambazo kisheria haziruhusiwi kutumika.

Pamoja na hujuma za kiushindani wa utalii na mkakati wa nchi jirani kuua utalii wa Tanzania kwa kuzuia Serengeti na Ngorongoro kutumia wenyeji wa maeneo hayo ili kurahisisha kuimarika biashara ya utalii nchini mwao.

Yabainika pia matajiri wa nchi hiyo jirani wazitumia Ngorongoro na Loliondo kama malisho ya kunenepesha mifugo yao kisha kuiuza kwa mamilioni ya pesa huku ikolojia ya utalii wa Tanzania ikiharibika vibaya.
Maria Tsehai Sarungi ndiyo yupo nyuma ya hizo NGOs za Kenya. Mwingine ni Ole Sendeka Mbunge wa Simanjiro. Yeye ndiye Middleman anayapokea fedha za Wakenya na kuwa assign Wamasai wa Tanzania makundi ya ng'ombe za kuchunga.
 
Back
Top Bottom