Operesheni KuKu (kufa kupona). riwaya ya kijasusi

Walisema watu

Wakaonekana wanafiki
Kifaa kilikuwa na shida kidogo, leo ndo nimerudi hewani mkuu.

Hata waliolipa wamepata leo.

Lakini utaacha kuwa mnafiki siku ukilipia hata jero tu,sio waseme wakingoja bure.

Kifaa kilizingua, tangu jpili, lakini hata waliolipia hawakunielewa, bado nimetumia garama kukirekebisha na Muda wa kuandika, bado mtu alalamike vya bure asionekane mnafiki?


Bora walionidai wakiwa wamelipa, kuliko hawa ambao hata kunipigia simu tu na kuniuliza nini shida hawawezi. Acha waendelee kulalamika tu.
 
Watu tunapenda vya bure kwa vya watuwaliowekeza nguvu, muda na rasilimali nyingine. Mie nimepewa Leo na nimeshaimaliza
Lipieni tu jamaa ni muaminifu sana ht aliponiambia kifaa kimeharibika nilielewa tu nashangaa leo naamka nakutana na mzigo. Sijaamka mpk nimemaliza
 
Japo sijaisoma ila nakupongeza. Ila kuna stori moja uliifanya fupi sana.
Bado sijamaliza zilizopita, ila hongera kwa kujituma kivyako vyako.
Tunga tu mkuu, watu tutakuunga mkono.
 
Japo sijaisoma ila nakupongeza. Ila kuna stori moja uliifanya fupi sana.
Bado sijamaliza zilizopita, ila hongera kwa kujituma kivyako vyako.
Tunga tu mkuu, watu tutakuunga mkono.
Ahsante Sana.
 
Umeeleweka vyema mkuu
 
Je, umekuwa shabiki wa riwaya zangu kwa muda mrefu?

Je umekuwa ukinunua riwaya zangu kila mara?

Basi ofa ipo kwa ajili yako!

Wasiliana nami whatsapp 0658564341.

Nimepoteza mawasiliano yenu yote!

Hivyo kunikumbusha ni muhimu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…