Operation ng'oa Magufuli inakuja


Wewe muhaya usiwatishe na usifunge watu midomo kireja reja. Wanaosema baki unajua wana maana gani??
Anza na Mwinyi na wengine wanaotaka tuvunje katiba katika kipengele cha ukomo wa madaraka!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
Rais ni mtu kama wewe na mimi hakuna any speciality mbali na kupewa jukumu la kuongoza kwa kadri ya matakwa ya katiba na sharia za nchi.
 
mtoa uzi umechelewa tayari.

Njoo na hoja za msingi na sio kuja na mbadala wa mambo walioanzisha wenzio.

kweli mnadhibitisha mnapumulia mashine na mwisho wenu umekaribia.

mlipokuja na operation ukuta hamkutafutiwa mbadala wake bali iliwekwa mikakati thabiti na kufanya isifanyeke hapa serikali walifaulu zaidi ya 100%.

Nakuhakikishia hiyo operation yako ITAFELI VIBAYA kwa sababu utakuwa katika vita ambayo uwezi kupigana nayo maana utateketea ndani ya sekunde.

Upinzani sasa hivi mmechoka tunasubiri tu kurudisha majimbo yetu 2020 na mpotee kabisa kwenye uso wa sayari hii ya Dunia muelekee sayari ya Mars.
 
Rose tafadhali naomba na mimi niwe partner kwenye huo mpango.Na jinsi hawa jamaa walivyo vilaza na mbururaz hautuchukui round wanakimbilia kolomije na chato wote.
 
Mara hii umesahau M4C Magufuli 4 Change? Kweli ccm zimejaa maiti.
 
Ungeanza na operesheni ya kumuondoa mwenyekiti wa kudumu wa Chama chenu kwanza.
Mwizi wa pesa za kivuko zile bilion 251 zilizopotea kule wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa safari hii chupi lazima imbane.
 
Mkuu,watakwambia "I am a good gun in a bad man's war".

Sent from my Kremlin using JamiiForum mobile app
 
Elimu ya hapa na pale: kweli CCM inapendwa na wenye elimu hafifu kama utafiti wa TWAWEZA ulivyosema. Sasa wewe unasema kwenu hakuna mafisadi. Naomba unitajia hawa wafuatao ni wa chama gani: Ngeleja, Tibaijuka, Chenge,
HAAAAAA HAAAAAAA. HAO ULIOWATAJA WANAHALI GANI KWA SASA NAWAKATI WANARUDISHA WENYEWEEE?? HALAFU YULE JAMAAA YENU MTETEZI WA WAZUNGU ANAWAUNGA MKONO??

JPM NDO CHAGUO LA MUNGU. KAMA HUPENDI HAMA . haaaaaaa haaaaaaa
 
Sijakataa nakubali kabisa, tena ninahamu washitakiwe kwa yote walosababishia nchi kuwa katika kipindi cha utawala wao, na wote wenye kinga waondolewe kinga ili waunganishwe pamoja. kunawakati ili kusafisha choo kichafu inabidi ufunge macho na pua.
Hapo kwenye "wafungwe",vijana wa Lumumba watafurahia lakin hapo kwa "waondolewe kinga" hawatakujibu,,,,,kimyaaaa
 
..hii tishia unayomtishia Rose hapa ingeeleweka zaidi kama ungeainisha/kuchambua maana na tofauti kati ya - 'Operation Magufuli' Baki na 'Operation Ng'oa Magufuli'
 
Kama wewe Rose ndoa inekushinda, utaweza kumuondoa Rais Magufuli madarakani? Tehetehetehe. Kick zingine bana!
 
Kuna mkakati kabambe wa kubadilisha vifungu vya katiba magufuri aendelee kubaki madarakani kwa miongo kadhaa. ......Kuna vikundi vinafadhiriwa na serikali juu ya jambo hili. .....muda utaongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…