Operation ng'oa Magufuli inakuja

Operation ng'oa Magufuli inakuja

Rose Mayemba

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2012
Posts
721
Reaction score
1,017
Kuna kampeni imeanza,inaitwa "MAGUFULI BAKI"
Hii inalenga kuwaaminisha watanzania kwamba hakuna mtu mwingine wakuiongoza Tanzania milele Magufuli.
Na kampeni hii inaonekana haivunji sheria yoyote ya nchi.
Wakitokea watu tofauti kuipinga hiyo kampeni wataonekana wanavunja sheria na wengi wataozea ndani.
HII TANZANIA HII
watu wanaamini kila linalotokea ni mpango wa Mungu.
Hawajui kwamba mengi yanayotokea ni yale tunayopanga na kuamua wenyewe kwa utashi tuliopewa.
MIMI NAANZISHA OPERATION NG'OA MAGUFULI TUONE KAMA KUNA SHERIA NIMEVUNJA
By mjinga mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kampeni imeanza,inaitwa "MAGUFULI BAKI"
Hii inalenga kuwaaminisha watanzania kwamba hakuna mtu mwingine wakuiongoza Tanzania milele Magufuli.
Na kampeni hii inaonekana haivunji sheria yoyote ya nchi.
Wakitokea watu tofauti kuipinga hiyo kampeni wataonekana wanavunja sheria na wengi wataozea ndani.
HII TANZANIA HII
watu wanaamini kila linalotokea ni mpango wa Mungu.
Hawajui kwamba mengi yanayotokea ni yale tunayopanga na kuamua wenyewe kwa utashi tuliopewa.
MIMI NAANZISHA OPERATION NG'OA MAGUFULI TUONE KAMA KUNA SHERIA NIMEVUNJA
By mjinga mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
 
ILI MPATE UHURU WA KUFANYA UFISADI NA KUPIGA MADILI??

TUNAANDAA MKAKATI AONGOZE MDA USIOJULIKANAAAA.
MAFISADI TULIENI HUU NDO MWISHO WENUU
MAGUFULI HANG'OKI ATA KIDOGO. HADI MSHIKE ADABUUU.
MUMETUIBIA WANYONGEEE, INATOSHAAA.
KAENI PEMBENI NA TENA PISHENI KABISAAA
hivi unajua kuwa wezi na walio fanya nchi kuwa tuliko ( HOI) ni sisiemu.

1. Huwezi safisha ndoo chafu kwa kutumia maji machafu.
2. Ukiweka divai mpya kwenye kiriba kikuu lazima kiriba kipasuke.
3. Mswahili anaoga kisha anaosha malapa na anakwenda ndani peku peku ili malapa yasichafuke.
 
hivi unajua kuwa wenzi na walio fanya nchi kuwa tuliko ( HOI) ni sisiemu.

1. Huwezi safisha ndoo chafu kwa kutumia maji machafu.
2. Ukiweka divai mpya kwenye kiriba kikuu lazima kiriba kipasuke.
3. Mswahili anaoga kisha anaosha malapa na anakwenda ndani peku peku ili malapa yasichafuke.
kati yao ni mawaziri wakuu wawili walioko Chadema!
 
muwe mnaficha
Kuna kampeni imeanza,inaitwa "MAGUFULI BAKI"
Hii inalenga kuwaaminisha watanzania kwamba hakuna mtu mwingine wakuiongoza Tanzania milele Magufuli.
Na kampeni hii inaonekana haivunji sheria yoyote ya nchi.
Wakitokea watu tofauti kuipinga hiyo kampeni wataonekana wanavunja sheria na wengi wataozea ndani.
HII TANZANIA HII
watu wanaamini kila linalotokea ni mpango wa Mungu.
Hawajui kwamba mengi yanayotokea ni yale tunayopanga na kuamua wenyewe kwa utashi tuliopewa.
MIMI NAANZISHA OPERATION NG'OA MAGUFULI TUONE KAMA KUNA SHERIA NIMEVUNJA
By mjinga mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
jitahidi kuficha upumbavu wako,onyesha busara zako ,hao wanaokusupport ukipelekwa kisutu ata chai watashindwa kukuletea.Ni wengi tu hatukubaliani na utawala wa magufuli ila hatuvuki mipaka kama wewe
siasa za mitandaoni zinawaharibu sana vijana wa chadema,mimi naziita ni siasa mfu hasa ktk awamu hii ya tano
hao wanaosema Magufuli abaki wanatofauti gani na sisi tunaosema Lowassa 2020?
 
kati yao ni mawaziri wakuu wawili walioko Chadema!
Sijakataa nakubali kabisa, tena ninahamu washitakiwe kwa yote walosababishia nchi kuwa katika kipindi cha utawala wao, na wote wenye kinga waondolewe kinga ili waunganishwe pamoja. kunawakati ili kusafisha choo kichafu inabidi ufunge macho na pua.
 
hivi unajua kuwa wenzi na walio fanya nchi kuwa tuliko ( HOI) ni sisiemu.

1. Huwezi safisha ndoo chafu kwa kutumia maji machafu.
2. Ukiweka divai mpya kwenye kiriba kikuu lazima kiriba kipasuke.
3. Mswahili anaoga kisha anaosha malapa na anakwenda ndani peku peku ili malapa yasichafuke.
POLE XANA NDUGU YANGU. INAWEZEKANA UFUKUZWA KAZI KWA KUKUTWA UNACHETI CHA DARASA LA SABA.

ILA KWA TAARIFA YAKO MAGUFULI HATOKI MPAKA MAFISADI WOTE MNYOOOKEE.
HUKO KWA KWENYE CHAMA CHENU MUMEBAKIA WAKUMBATIA MAFISADI NA WALA RUSHWAAA. SISI HUKU MAFISADI NI MWIKOOOO.
KAENI KUWATETEA TU HAO MAFISADI. ILA MWISHO WAO UMEFIKAAA.
TUNAE JPM MUNGU KATUSHUSHIA TULIA TU MAENDELEO NDO HABARI YA MJINI.
MAJUNGU NA MATAMKO HEWA PELEKA KWENYE LICHAMA LAKO.
 
Back
Top Bottom