Operation korosho na hasira za mkizi

Operation korosho na hasira za mkizi

Vumilia tu maana uvumilivu wa maumivu ndiyo uzalendo na mjiandae kuikopesha sirikali
Pesa zetu wakulima zimefikia wapi, maana hatujalipwa hadi leo
 
Ninavyoona serikali imechukua hatua ya ku intervene kwenye biashara ya korosho msimu huu sio kwa sababu za kibiashara kwamba inunue kutoka kwa wakulima halafu itafute soko ya korosho hizo na ipate faida, la hasha

Nadhani sababu ni za kisiasa zaidi na pia inataka kuvunja cartel ya kinyonyaji ya wanunuzi wakubwa wa korosho. Hata kama hakuna faida kubwa itakayopatikana au hata ikiwa ni hasara kiasi basi bora iwe hivyo kuliko ku give in kwa demands na syndicates za wanunuzi
Sasa kuruhusu kuingia korosho kutoka nje ya nchi zije kuuzwa Tanzania ni kuiongezea Serikali ya Tanzania mzigo wa budget ya kununua korosho hizo, ununuzi ambao hauangalii short time commercial gain but rather long term political and economical benefits

Ni maoni yangu tu lakini

Mwaka jana hizo cartel za wanyonyaji hazikuepo? Au ni nani alienunua kilo kwa zaidi ya 4000?
 
Kuna magonjwa ya mimea huwa yana hama kutoka nchi 1 kwenda nyingine vip hilo umelifikiria kabla ya kulaumu
Wenzako wako wanabisha kila kitu walahi
Hiyo miasira ya mkizi iko kwao ndio maana wabunge wana timka walahi
 
Back
Top Bottom