dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 3,700
- 9,838
Kuna madini ya uranium na plutonium ambayo yanahusika kwenye kutengeneza silaha za nyukliaUkiwa mfuatiliaji sana na mtu wa kuunganisha dots utajua kwanini Antarctica.
Kuna madini ya uranium na plutonium ambayo yanahusika kwenye kutengeneza silaha za nyukliaUkiwa mfuatiliaji sana na mtu wa kuunganisha dots utajua kwanini Antarctica.
Baada ya kuisha Kwa WW2 US walifanya expedition Antarctica, walikwenda na wanajeshi takribani 4700, wanajeshi wote Hawa wa Nini?. Na vita ilikuwa ishakwisha. Mambo ya kijeshi ni magumu kuyajua..Kuna madini ya uranium na plutonium ambayo yanahusika kwenye kutengeneza silaha za nyuklia
Vita huwa haziishi zinatulia tu, pia hiyo haimaanisha kwamba wasijiandae kwa kutafuta madini ya kutengeneza silaha zenye nguvu. Kama ilikuwa kutafuta dunia nyingine kwa nini wasichukue watu wa historia au archaelogist ila walikuwa na wanajeshi na wanasayansiBaada ya kuisha Kwa WW2 US walifanya expedition Antarctica, walikwenda na wanajeshi takribani 4700, wanajeshi wote Hawa wa Nini?. Na vita ilikuwa ishakwisha. Mambo ya kijeshi ni magumu kuyajua..
Tayari vita ilikwisha pale Japan, hakukuwa na uwezekano wowote wa mataifa kuingia tena vitani baada ya zile nukes kuangushwa. Kwasababu kama ingekuwa ni suala la madini baada tu ya ile expedition tayari US angeitumia Antarctica kuchimba madini unayosema kama zilivyo sehemu nyingi za kimkakati alizochukua USA, kulikuwa na uwezekano wa unusual activities Antarctica ambazo zilichagizwa na Nazis, kumbuka jinsi Kila kitu kuhusu Nazis kilivyochukuliwa na US, Russia etc.Vita huwa haziishi zinatulia tu, pia hiyo haimaanisha kwamba wasijiandae kwa kutafuta madini ya kutengeneza silaha zenye nguvu. Kama ilikuwa kutafuta dunia nyingine kwa nini wasichukue watu wa historia au archaelogist ila walikuwa na wanajeshi na wanasayansi