yap nimetumia android sana tu
-htc one
-gs4
-gs3
-galaxy chat
mimi naleta data zangu hizi hapa za uk
ios wakwanza ana 35% wapili wp ana 18% watatu samsung ana 17% na source hii hapa
Windows Phone OS to dominate B2B by mid-2015 | Mobile News Online
kwa marekani gonga hapa by february ilishafika 12%
IBM says its enterprise customers prefer Windows Phone handsets at work
nakuchallenge
dreson 4 na wewe lete data uthibitishe jf kuwa wp ina 1% ya enterprise,
just fkiria nani aeke sensitive document kwenye android? wakati playstore imejaa malware kibao
hata simu za kichina siku hizi zinakuja na malware built in, built in sio official kaka. file manager ikija na samsung imetengenezwa na samsung na sio google mwenyewe hivyo ni 3rd party sio official elewa. ndio maana file manager ya samsung si kama ya htc wala haifanani na ya lg
i hate blah blah blah zitaje hizo video editors maana nimetaja kinemaster pro kama video editor pekee ya android inayofanya basics na wewe taja sio porojo zipi hizo zinazokata na kufanya filters?
upload file lako la raw image au nipe source kuwa s2 na samsung yako inatoa raw images na sema ni format gani maana unadanganya
asilimia 58% ya enterprise inamilikiwa na microsoft hizo 42 zilizobakia wanagawana makampuni mengine, hizo app za android ni za kusomea leo hii nikikupa kazi ya excell ukacalculate kwenye hizo office za android utalia mwenyewe na ukiprint alignment zote zinavurugika, nimejaribu kaka nimesoma kaka i know by experience nothing beat ms office
huelewi kaka faida ya universal app kwa mtu wa simu si kurun kwenye gadgets nyingi bali kupata very powerfull and productive apps mfano nimekupa full ms office i mean full ile ile anayotumia wa pc unaitumia na wewe just imagine how powerfull simu itakuwa ikirun app sawa na pc.
hapo kote nilikua nakuonesha kuwa wp kuna apps pia na kwenye simu huinstall app zote 1,000,000 simu zetu zina gb chache tu utaeka app 10 hadi 50 basi so wp inatosha kabisa kusatisfy matumizi yako ya siku ipo smooth haina lag ya aina yoyote, simu zinapata support even simu za mwaka 2012 kama lumia 620 zinauhakika wa updates ya 4 yaani wp8.1 na mwisho wa mwaka zitapata updates ya tano yani wp8.1 update 1. just imagine 5 major updates na bado zinaendelea. hakuna kama wp