Operating system ipi ya simu ambayo ni bora kuliko zingine

Operating system ipi ya simu ambayo ni bora kuliko zingine

fungi

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2014
Posts
2,539
Reaction score
4,673
Kati ya iOS,Windows,Blackbery na Android ipi OS unaikubali zaid?
 
1. window
2. bb os 10
3. android
4.ios

ila wakumbushe wadau kuwa unaongelea Blackberry os 10 kwasababu kama unaongelea ile os yao ha zamani haistahili hata kuwepo hapo
 
wataongea sana lakini boss wao android..... hata idadi ya watu wanaotumia tu ni evidence tosha inavopendwa na wengi...
akifuatiwa na iOS... windows hana apps afu chache alizonazo za kikuda OS kimeo tu hiyo..
 
IOS kwa wenye akili zao.....kama kilaza android inakuhusu....wenye akili zao watanielewa
mnisaheme bure mtakao kwazwa kwa neno kilaza...nimetafuta mbadala nimekosa, ila ukweli ndo huo.
 
wataongea sana lakini boss wao android..... hata idadi ya watu wanaotumia tu ni evidence tosha inavopendwa na wengi...
akifuatiwa na iOS... windows hana apps afu chache alizonazo za kikuda OS kimeo tu hiyo..

Kuendwa na wengi sio kuwa bora, inawezekana ni ulimbukeni wa wengi wananunua kufuata mkumbo, bila kujua kwenye soko kuna nini kizuri zaidi
 
wataongea sana lakini boss wao android..... hata idadi ya watu wanaotumia tu ni evidence tosha inavopendwa na wengi...
akifuatiwa na iOS... windows hana apps afu chache alizonazo za kikuda OS kimeo tu hiyo..

apps zipo chache sawa ila ukisema za kikuda hapana nakataa windows phone sasa hivi imeishaipita android kwenye enterprise market ipo nafasi ya tatu nyuma ya kinara blackberry akija ios wa tatu wp na mwisho android. by 2015 muda kama huu trend ikiendelea wp atakuwa wakwanza kwenye enterprises. ngoja nikuioneshe maeneo ambayo toka wp8.1 imetoka wp tayari amemuacha android nakupa personal experience tu.

1.os ya kwanza kuwa na file manager baada ya symbian
kabla ya hapo ilikua wp inachekwa kwa kutokua na file manager lakini watu wa android wakasahau kuwa wao pia hawana official file manager, android inatumia third party file manager tu ambazo hazina uhakika wala hatujui data zetu zinapelekwa wap. kwenye wp microsoft ametoa official file manager ili uweze kumanage mafile in simple way
files-for-windows-phone-8-1.jpg


2.video editors
nimekuwa nikitafuta video editors kwa muda mrefu sana kwenye android nikaambulia moja tu kinemaster pro ambayo nayo video ya dakika 3 inachukua hadi nusu saa kurender tu. cha kushangaza kutoka tu kwa wp8.1 kumekuja video editors za kumwaga kwenye wp zenye features sawa na movie maker ya pc ambazo zinatosha kabisa kwa mtu wa kawaida kama mimi kutengeneza movee na kuedit video zangu
movie-maker-8-1-for-windows-phone.png


3.camera experience
tukiachana na hardware ambazo si part ya os ukija kwenye app za camera hakuna kinachoifikia wp, siongelei mambo ya camera 360 na app za kitoto i mean real proffesional issues. kwenye wp unaweza kupata raw images kwa ajili ya photoshop kwa android huwezi na bila raw images huwezi kuwa proffesional wa camera so android ni useless kwenye camera. pia kwenye wp kuna app kama nokia camera ambayo imeshinda award ya app bora ya mwaka 2013 kwenye site nyingi ikiwemo phonearena na wpcentral, kuna cinemagraph na nyenginezo.

Nokia-Camera-03.jpg

nokia_smart_camera.jpg


4.office apps
ukiwa na windows phone unapata app kibao za kiofisi kama ms word, excel na power point, kuna best note taking apps kama one note. utaweza kusync vitu vya kiofisi kutoka simu kwenda computer na hutopoteza compability sababu app ni zile zile

5.universal app
kwenye wp sasa hivi unaweza tumia app moja na mtu wa pc mfano wake ni hii microsoft office mpya inayokuja itakua version moja kwa simu na pc na tablet

6.best navigation ever
why apps za wp za navigation ni best?
1.unaweza download ukatumia offline wakati kwenye android hadi uwe na net na kama utapata za offline basi data zake wananunua kwa nokia
2.zinakuambia mahali ulipopaki gari yako
3. zinakuambia kuhusu foleni (baadhi ya nchi)
4. nk

7.nokia exclusive apps
nokia wana apps kibao za wp ambazo huwezi kuzipata sehemu nyengine mfano moja wapo mpya ni hii nokia beamer ambayo una mirror kioo chako kwa mtu mwengine. mfano hujui kupunguza mwanga kwenye simu basi unadownload nokia beamer then kila ninachokifanya kwenye simu yangu wewe utakiona kwenye kioo chako hivyo nitaweza kukufundisha kirahisi, nokia wana photo editor inaitwa studio, wana photo beamer, kuna video trimer ya ku upload video youtube kuna app zaidi ya 50 za nokia na zote ni amazing apps.

8.microsoft games
moja kati ya tofauti ya google na microsoft ni kutengeneza magame, japo android ina magame mengi ila wp ina magame bora ya microsoft kama vile solitaire, mahjong, halo na skull os shougan. ni game moja tu ninalolijua ambalo lipo android nalo ni wordament.
kama wewe ni mpenz wa turn based games sijaona game zuri kama hili kwenye simu skull of shougan
skulls.jpg

wale wa halo
HALO-SA.jpg
 
Kati ya iOS,Windows,Blackbery na Android ipi OS unaikubali zaid?

Windows Mobile ni mbaya kinoma, na dark theme zake. Kwanza huwa haishindanishwi na hizo os zingine kama ios au android sababu bado ni changa (sio popular). mpaka mwaka jana IOS na Android kwa pamoja wanafikisha 80% mobile market share..hizo zingine zina wapenzi wachache,,
 
Kati ya iOS,Windows,Blackbery na Android ipi OS unaikubali zaid?

Android is most popular .. billions of free Apps available, customizable
Windows os (especially win 8)... few apps available,less customizable na OS yenyewe ndio inakuja sasa katika soko
iOS ni kwa apple peke yake... Apps nyingi ni za kulipia

angali mwenyewe ipi ni bora kwako, mimi nipo na android
 
Nimepita kwenye OS zote hizo lakini nilipofika kwenye iOS,dah hawa jamaa wanaweza bhana believe me


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Ios ni nzuri- coz iko stable sana,only weakness in lack customization na bluetooth filesharing to other os,pia ni cost kwa maana device za ios zipo juu sana compare to other os


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuendwa na wengi sio kuwa bora, inawezekana ni ulimbukeni wa wengi wananunua kufuata mkumbo, bila kujua kwenye soko kuna nini kizuri zaidi
Nipe comparison ya OS nyingine yoyote na Android afu unambie nani anashinda... usiongelee stability maana OS zote hua ziko unstable hadi wanapopata bugs inafika muda wanarelease a stable version... ongelea kitu kingine.... Unapenda sana windows naona ila windows tukianza apps tu, wako shallow vibaya hadi kufikia hatua wanalipa developers 20K ili watengeneze softwares, na bado wana software vituko... features zilizoko kwenye android hakuna competitor, angalia Google Now, Google Goggles, notification centre, yani everything about android, angalia ioivosambaa kwenye bunch of devices hadi fridge, TV, saa, wengine watabaki kuiga trend ila bado hawajafanya.... Naomba uje na facts tufike point tukubaliane sio maneno ya juu juu... ninatumia both iOS n Android na ninadevelop software kwa zote mbili comparison naijua vizuri tu
 
Back
Top Bottom