Open University of Tanzania

Open University of Tanzania

Do you offer master of information systems management? If not what ICT course do you offer?
 
Tunatoa masters ya ICT karibu usome
 
Ukisoma hyo mambo mengine kama haya utayakuta humo humo ndani ya ICT
 
naomba nitumie prospectus ya mwaka 2014/15 ya OUT.
 
Mlitangaza kuanza kutoa degree za data management alafu mkahairisha kihuni.....huu ni ukurupukaji.....nilimlipia dogo application fees then ikageuka hadithi za alinacha hadi kesho......acheni kutangaza course huku hamjajipanga.....huu ni wizi wa kishamba kwa chuo kikubwa kama OUT.....
 
We aliyekwambia hiyo degree inatolewa hapo ni nani? Na kama ni tangazo uliliskia kwa nani
 
Mlitangaza kuanza kutoa degree za data management alafu mkahairisha kihuni.....huu ni ukurupukaji.....nilimlipia dogo application fees then ikageuka hadithi za alinacha hadi kesho......acheni kutangaza course huku hamjajipanga.....huu ni wizi wa kishamba kwa chuo kikubwa kama OUT.....

Samahani naomba niingilie hapa, hii degree ulihakikisha inatolewa au ulisikia kwa watu?? Uliiona kwenye documents za chuo especially msahafu wake (Prospectus)? Hii case inafanana na case ingine mtu kaambiwa kuna degree fulani inatolewa ila kwenye application form haipo so omba kwa kuapply Degree ya Sanaa (BA.General) then baadae utahamia hiyo kozi.

Mwisho wa siku amechaguliwa BA.Gen huku registration anadai anasoma kitu kingine, anaulizwa umepata maelekezo wapi anasema kwa mwenzie then OUT analalamika wababaishaji!! Hebu kuwa specific mkuu
 
Samahani naomba niingilie hapa, hii degree ulihakikisha inatolewa au ulisikia kwa watu?? Uliiona kwenye documents za chuo especially msahafu wake (Prospectus)? Hii case inafanana na case ingine mtu kaambiwa kuna degree fulani inatolewa ila kwenye application form haipo so omba kwa kuapply Degree ya Sanaa (BA.General) then baadae utahamia hiyo kozi.

Mwisho wa siku amechaguliwa BA.Gen huku registration anadai anasoma kitu kingine, anaulizwa umepata maelekezo wapi anasema kwa mwenzie then OUT analalamika wababaishaji!! Hebu kuwa specific mkuu

Sawa ngoja niwe specific .......
 

Attachments

vidodi hebu fafanua hiyo course namba 2 na 3 ...........
 
Last edited by a moderator:
Ada pale bei ni maelewano, chuo cha Gavoo hicho kaka.hawana shida saana.

Hivi kuna chuo chenye gharama za maelewano kweli? Unaijua OUT au ndo wale wale?

@mwalimumzalendo1 adani shs 60,000/ kwa unit. So ada ya mwaka inategemea na idadi ya unit ulizo opt kuchukua katika mwaka husika. Mfano umechukulia units jumla 12 ni 60,000/ x 12 = 720,000/ pia pana vigharama vingine vidogo vidogo.

Hicho cha mwanafunzi kuweza kuchagua idadi ya kozi nadhani ndicho kilichomfanya huyo jamaa hapo juu aseme ada ni maelewano
 
Hivi kuna chuo chenye gharama za maelewano kweli? Unaijua OUT au ndo wale wale?

mwalimumzalendo1 adani shs 60,000/ kwa unit. So ada ya mwaka inategemea na idadi ya unit ulizo opt kuchukua katika mwaka husika. Mfano umechukulia units jumla 12 ni 60,000/ x 12 = 720,000/ pia pana vigharama vingine vidogo vidogo.

Hicho cha mwanafunzi kuweza kuchagua idadi ya kozi nadhani ndicho kilichomfanya huyo jamaa hapo juu aseme ada ni maelewano
Mkuu, hebu nifafanulie hapa ada bado ni 60,000 kwa somo? au washabadilisha.nime-google hata siion fee stracture ya out. pia kunaidadi ya unit ambazo ni lazima kuzichukua kwa semister? pia BACHELOR OF COMMUNITY ECONOMIC DEVELOPMENT ninaweza kuisoma kwa miaka mingapi?
 
Home - FEE STRUCTURE Internation
Student Fees 2.3 SADC and EAC
Students According to the SADC and EAC
Protocols, students from member
countries are to pay the
equivalent of local fees. These
fees shown in Table 1 and 3, do
not include additional costs, such as transportation of study
materials, invigilation and freight
of examinations, hire of
examination halls, etc.
Additional costs will be
negotiated through coordination centers and individual students. TABLE 3: Fee Schedule for
Continuing Student Academic
Year Undergraduate and Non-
Degree NOITEM FULL
FOR
EAC/
SADC
(USD)FULL
FOR
NON
SAD
EAC
(USD UNDERGRADUATE
PROGRAMMES 1 Application fees 30 30 2 Fee per
examination 20 40 3 Quality assurance
fee (annually) 20 40 3 Student
Organization fees 20 20 4 Student Identity
card 20 20 Fees For Local Students And
Students From EAC And SADC
 
Back
Top Bottom