Open University of Tanzania

Open University of Tanzania

vidodi

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2014
Posts
363
Reaction score
130
attachment.php

Kwa maelezo zaidi piga namba 0779888204 au 0777141565 au 0713305020 au 0778888390 karibuni sana masomo yataanza trh 9 Feb 2015
 

Attachments

  • 1422867119857.jpg
    1422867119857.jpg
    108.9 KB · Views: 1,692
Au nenda out.ac.tz /files/news/IEMT courses on offer. pdf
 
Karibuni sana ndugu zangu mwenye maswali aulize au apige simu kwa maelekezo zaidi
 
kusoma IT kwa njia ya masafa au elearning ni janga IT inataka interactive practices from the instuctor
 
Si kila elimu itolewayo na open ni ya masafa marefu IT inafundishwa darasani na ni mikoa 13 inayofundisha IT na pia kuna baadh ya course zinafundishwa darasani pia za level nyingine pamoja na masters
 
Tuna mpango wa kuianzisha intake ijayo coz tcu tunasubiri watupe ruhusa ila kwa law tuna degree had PhD karibu sana
 
Chuo changu hiki mwaka wa tano huu sijamaliza
 
Why hujamaliza sasa tatizo ni nini
 
Kwa sasa huo mpango unafutwa itabidi watu wawe wanamaliza kwa muda uliopangwa maana watu wanazembea kusoma hata kipindi cha nyuma mtu anasoma degree miaka 5
 
Namaanisha kama ulijiunga halafu uchumi ukabana.unaweza huahirisha kwa ajili ya mwakani??
 
Nina mpango wa kujiunga na OUT,mwanzo watu walinitisha ila kwa sasa naamini naweza kunoa ubongo wangu hapo
 
ni Mwaka mmoja pekee tena uwe na sababu maalum za kuahirisha mwaka
 
Karibu sana waballa na ipo degree ya IT
 
Back
Top Bottom