Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,197
- 3,570
jamani mimi sielewi hii elimu ya chuo hiki........inayotoa maana naona wanafunzi wake wengi wanasoma tution kama wanafunzi wa sekondari mitaani halafu wanafanya mitihani basi hivi si kama center ya mitihani