POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Rais JK, inavyoonekana ni kama kadanganywa issue ya ujenzi jangwani, ambapo jana aliagiza ujenzi usimamishwe mara moja na kubomolewa... Leo ITV habari saa mbili usiku. Mafundi na wachina wanasema wanaendelea na ujenzi kituo cha mabus ya kwenda kasi, vituko tupu mwandishi ITV anashanga, nami nashanga ilikuwaje rais kasema pabomolewe aliakuwa ni kituo cha mabus kasi?