Open-space Jangwani: Kikwete adanganywa tena!?

POMPO

JF-Expert Member
Mar 12, 2011
6,690
2,400
Rais JK, inavyoonekana ni kama kadanganywa issue ya ujenzi jangwani, ambapo jana aliagiza ujenzi usimamishwe mara moja na kubomolewa... Leo ITV habari saa mbili usiku. Mafundi na wachina wanasema wanaendelea na ujenzi kituo cha mabus ya kwenda kasi, vituko tupu mwandishi ITV anashanga, nami nashanga ilikuwaje rais kasema pabomolewe aliakuwa ni kituo cha mabus kasi?
 
Hii ni k2 gan? Mbn kchwa cha habar ni kngne na michango ni mingne? Ndugu umedandia tren kwa mbele au ni mimi ndo sion vzur?
 
Nadhani Uwezo Tunao kapotea njia. Turudi kwenye mada.

Kikwete anatafuta sifa bila kutumia akili. Kuwapa mawaziri maelekezo ya kazi kupitia vyombo vya habari ni dalili kuu ya rais asiyejua kazi yake

Alipopita jangwani na kuona uzio wa mabati kwanini hakumpigia simu waziri na kumuuliza? Kwanini hakumtumia waziri huo ujumbe ili atekeleze mara moja?

Pia hiyo staili yake ya kuendesha nchi inatokana na kushindwa kwake kuweka na kusimamia mifumo ya utawala wa haki na sheria katika ngazi zote. Hivi ni hadi yeye akiona kosa ndipo alalamike kupitia vyombo vya habari ndipo litatuliwe? Anapita kila kona ya nchi hii? Wananchi wote wanaodhulumiwa haki zao wanaweza kumfikia ili aagize wasaidiwe?
 
Kwa kweli Kikwette mambo yako shingoni, hili nalo litagonga mwamba!!:? Rais anatoa agizo bila hata ya kwanza kuita washauri wake kuwauliza pale kitu gani kinaendelea! Swali je, ili kulinda status quo yake itabidi pabomolewe au ataamua paendelee kujengwa kwa maslahi ya taifa? Nionavyo mimi Rais wetu yuko likizo siku nyingi sana, hana habari na mambo mengi yanayoendelea hapa nchini
 
Mmmh! Kama ni kweli kadanganywa tena basi safari hii pengine atajifunza. Mkulu hajui kama kinajengwa kituo cha mradi wa mabasi kasi?! Sasa naamini kwamba hata hii rasimu ya katiba mpya,mzee kachomekewa!
 
Nashangaa sana! kichwa cha habari na mchango huu wapi na wapi?


Wala usishangae watu wanajaribu kuficha aibu ya mkuu. Kama kuna ukweli wa haya anayosema POMPO basi Rais wetu yuko pale ikulu akiwa busy kufanya mambo yake na wala si kuwatumikia wananchi. Haiwezekani rais awe hana habari na kinachoendelea kiasi hiki, Aibu.
 
Mie nacheka na kudesa mpaka miswada ya warepublican wenzetu!:disapointed:
Huu mdeso ni kasa moja kwa moja yaani ni sawa na anaedesa mpaka P.T.O (Please Turn Over) wakati yeye yuko half a page! Haya ndo matatizo ya politics kupewa kipaumbele kuliko professionalism/technicality ya kutatua matatizo yanayotukabili!
Anyway tutafika tu lakini
 
Nashangaa sana! kichwa cha habari na mchango huu wapi na wapi?


Wala usishangae yawezekana ni jitihada za kuficha aibu ya Mkuu, Kama ni kweli, basi jueni rais yuko pale ikulu busy akifanya mambo yake binafsi wala si kuwatumikia wananchi. Haiwezekani wala haiingii akilini kuwa rais tena wa nchi hana habari (uninformed) kiasi hiki, ni aibu.
 
Afu huyu JK hivi huku kukurupuka ataacha lini? Kweli kusikia kwa kenge mpaka damu itoke masikioni, Kwanini anaruhusu kuwa na sources zembe zembe hivi? No wonder tunayoyasikia kutoka kwa akina SS, Membe, Kombani, Chiligati na wengineo.
 
Nadhani Uwezo Tunao kapotea njia. Turudi kwenye mada.

Kikwete anatafuta sifa bila kutumia akili. Kuwapa mawaziri maelekezo ya kazi kupitia vyombo vya habari ni dalili kuu ya rais asiyejua kazi yake

Alipopita jangwani na kuona uzio wa mabati kwanini hakumpigia simu waziri na kumuuliza? Kwanini hakumtumia waziri huo ujumbe ili atekeleze mara moja?

Pia hiyo staili yake ya kuendesha nchi inatokana na kushindwa kwake kuweka na kusimamia mifumo ya utawala wa haki na sheria katika ngazi zote. Hivi ni hadi yeye akiona kosa ndipo alalamike kupitia vyombo vya habari ndipo litatuliwe? Anapita kila kona ya nchi hii? Wananchi wote wanaodhulumiwa haki zao wanaweza kumfikia ili aagize wasaidiwe?
Na baadae atawalaumu akina Sumaye, kwa kulalamika hadharani!
 
hawa wanaochomeka zitto si bahati ni makusudi wanataka kuvuruga mjadala. Ni uwt, tusiwasikilize.
 
attachment.php


This isit people
 
Words fail me to explain how shallow the guy is na hiyo staili yake mpya ya kuendesha nchi kupitia media. i absolutely have no one to compare with him. What a shame!!!!
 
JK ana mawazo mengi kuwa ishu ya Loliondo ikiisha maandamano ya CHADEMA yatachukua nafasi ndani ya miyo ya watu. Hivyo hofu ni kubwa kwa rais kiasi cha kusahau mambo ya misingi.

Tutaona mengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom