Open letter to all the men I loved before

Open letter to all the men I loved before

Hivi nazjaz ulikuwa na wanaume wangapi vile?
 
nazjaz..... usiwe bahili,, na mimi.nahtaji unionjeshe hayo mashabshab!"""""""""
 
Kaazi kweli kweli...kwahiyo mambo ni kila nyakati na nabii wake
 
Mabwana wa JF hawachelewi kukuanzishia thread, siwataki hata kwa burungutu la dolali
sasa kama hawapo JF kiherehere cha nn sasa kuandika humu,au ndo promo unataka,,,mxxiiiiii
 
kwenu mabrazameni, waheshimiwa, waume wa watu na wooote wale ambao sikuwatajeni hapa.

Mapenzi ni kitu kitamu sana kwa muda mfupi, haswa
yakiwa featured na big shoppings, outings and vacations.

Ukiona umeachwa haimaanishi uendelee kung'ang'ania. Tafuta mwingine.

Ninapo acha huwa nina sababu zangu nyingi tu za kuamua kufanya hivyo.

Kwa sasa sihitaji tena simu zenu za vilio vya kuniomba niwasemehe na kufanya marudiano, wala sitaki simu zenu za ahadi kemkem.

Bahati niliyo watunuku ya kuwaonjesheni pepo ya kitandani imesha pita.

Sasa nimempata wangu, nimpaye pepo na paradiso zote, maraha na mahaba shatashata niliyo nayo na ninayo yajua ni mali yake.

Naomba tafuteni wa aina yenu.
teh teh,wa aina yao ni kama wewe so huyo jamaa yako ndo kalamba JABA
vidume waliotafuna hiyo kitumbua yako wanakuchora tu
 
Nazjaz mbona hujawataja na wale wanaotupiga ban au unaficha kwa maslahi ya JF. Paw natania tu mjomba.
 
Back
Top Bottom