Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,330
- 17,857
Miss drama queen in action!
Smile,hajasema kafunga mahesabu, wa sasa nae akiachwa anaungana na wenzie kuusoma waraka huu!
Kila la kheri nazjaz mwaya
King'asti........
Miss drama queen in action!
Smile,hajasema kafunga mahesabu, wa sasa nae akiachwa anaungana na wenzie kuusoma waraka huu!
Kila la kheri nazjaz mwaya
amepewa vitu adimu, kwangu habanduki, nimemtunuku moyo wangu simuachi asilani
Mahaba shatashata ndo nn? Aisee inaonekana nikikutana nayo nitachanganyikiwa. Naomba nikuulize kama hujawahi kuunguza cylinder head maanake unavyojisifia utadhani Exaust bado inatoa H2O machine ikiwashwa.kwenu mabrazameni, waheshimiwa, waume wa watu na wooote wale ambao sikuwatajeni hapa.
Mapenzi ni kitu kitamu sana kwa muda mfupi, haswa yakiwa featured na big shoppings, outings and vacations.
Ukiona umeachwa haimaanishi uendelee kung'ang'ania. Tafuta mwingine.
Ninapo acha huwa nina sababu zangu nyingi tu za kuamua kufanya hivyo.
Kwa sasa sihitaji tena simu zenu za vilio vya kuniomba niwasemehe na kufanya marudiano, wala sitaki simu zenu za ahadi kemkem.
Bahati niliyo watunuku ya kuwaonjesheni pepo ya kitandani imesha pita.
Sasa nimempata wangu, nimpaye pepo na paradiso zote, maraha na mahaba shatashata niliyo nayo na ninayo yajua ni mali yake.
Naomba tafuteni wa aina yenu.
Usualy women do not mean what they say!!!
naamini kwa sasa umempata wa huko huko arusha...!
huku dasalama utawavulia kufuli members wote lakin utaishia kumegwa na kuachwa....hii ndo dasalama bana!watu hawanaga mikataba zaidi ya higher initial costs..(shoppings na outings)...wakishakuchafua chafua haooo kwa wake zao!
gadem zako!
| Song Lyrics To All The Girls I've Loved Before by Julio Iglesias |
kwenu mabrazameni, waheshimiwa, waume wa watu na wooote wale ambao sikuwatajeni hapa.
Mapenzi ni kitu kitamu sana kwa muda mfupi, haswa yakiwa featured na big shoppings, outings and vacations.
Ukiona umeachwa haimaanishi uendelee kung'ang'ania. Tafuta mwingine.
Ninapo acha huwa nina sababu zangu nyingi tu za kuamua kufanya hivyo.
Kwa sasa sihitaji tena simu zenu za vilio vya kuniomba niwasemehe na kufanya marudiano, wala sitaki simu zenu za ahadi kemkem.
Bahati niliyo watunuku ya kuwaonjesheni pepo ya kitandani imesha pita.
Sasa nimempata wangu, nimpaye pepo na paradiso zote, maraha na mahaba shatashata niliyo nayo na ninayo yajua ni mali yake.
Naomba tafuteni wa aina yenu.
all the best ila one more thing!! Watch out isije wewe ndo ukaanza tu beep!! Maana wengi huwa waaga na hata kubadili simcard, halafu baada ya siku kadhaa unaanza kukuta miss call no mpya ukipiga utaskia '' please naomba tuonane nikupe fully story, ooh huyu jamaa bure kabisa, ooh aliacha wanawake sita kumbe, ooh mlevi sana, ooh hawezi game lako.... So tell me bwana mi bado nakupenda!!!kwenu mabrazameni, waheshimiwa, waume wa watu na wooote wale ambao sikuwatajeni hapa.
Mapenzi ni kitu kitamu sana kwa muda mfupi, haswa yakiwa featured na big shoppings, outings and vacations.
Ukiona umeachwa haimaanishi uendelee kung'ang'ania. Tafuta mwingine.
Ninapo acha huwa nina sababu zangu nyingi tu za kuamua kufanya hivyo.
Kwa sasa sihitaji tena simu zenu za vilio vya kuniomba niwasemehe na kufanya marudiano, wala sitaki simu zenu za ahadi kemkem.
Bahati niliyo watunuku ya kuwaonjesheni pepo ya kitandani imesha pita.
Sasa nimempata wangu, nimpaye pepo na paradiso zote, maraha na mahaba shatashata niliyo nayo na ninayo yajua ni mali yake.
Naomba tafuteni wa aina yenu.
kwenu mabrazameni, waheshimiwa, waume wa watu na wooote wale ambao sikuwatajeni hapa.
Mapenzi ni kitu kitamu sana kwa muda mfupi, haswa yakiwa featured na big shoppings, outings and vacations.
Ukiona umeachwa haimaanishi uendelee kung'ang'ania. Tafuta mwingine.
Ninapo acha huwa nina sababu zangu nyingi tu za kuamua kufanya hivyo.
Kwa sasa sihitaji tena simu zenu za vilio vya kuniomba niwasemehe na kufanya marudiano, wala sitaki simu zenu za ahadi kemkem.
Bahati niliyo watunuku ya kuwaonjesheni pepo ya kitandani imesha pita.
Sasa nimempata wangu, nimpaye pepo na paradiso zote, maraha na mahaba shatashata niliyo nayo na ninayo yajua ni mali yake.
Naomba tafuteni wa aina yenu.
Nazjaz bwana kwani hao wapenzi wako JF?
Umeeleweka,badili na namba za simu na makazi.kwenu mabrazameni, waheshimiwa, waume wa watu na wooote wale ambao sikuwatajeni hapa.
Mapenzi ni kitu kitamu sana kwa muda mfupi, haswa yakiwa featured na big shoppings, outings and vacations.
Ukiona umeachwa haimaanishi uendelee kung'ang'ania. Tafuta mwingine.
Ninapo acha huwa nina sababu zangu nyingi tu za kuamua kufanya hivyo.
Kwa sasa sihitaji tena simu zenu za vilio vya kuniomba niwasemehe na kufanya marudiano, wala sitaki simu zenu za ahadi kemkem.
Bahati niliyo watunuku ya kuwaonjesheni pepo ya kitandani imesha pita.
Sasa nimempata wangu, nimpaye pepo na paradiso zote, maraha na mahaba shatashata niliyo nayo na ninayo yajua ni mali yake.
Naomba tafuteni wa aina yenu.