Hawa wazungu kiboko
JK kaenda kuonana nao huko uingereza na wakampa platform kisha wakatoa ripoti inayoonyesha kuwa serikali ya Tanzania ni kikwazo kwa demokrasia
Ripoti hii hapa
Wakati huo huo Kenya imerank ya kwanza kwa uwazi Afrika
Sasa tatizo letu sisi ni nini?
JK kaenda kuonana nao huko uingereza na wakampa platform kisha wakatoa ripoti inayoonyesha kuwa serikali ya Tanzania ni kikwazo kwa demokrasia
Ripoti hii hapa
Wakati huo huo Kenya imerank ya kwanza kwa uwazi Afrika
Sasa tatizo letu sisi ni nini?