oooooooooooohps!

la ivuga mana ndio alitangaza mchumba wake anaumia sana koz ni etra etra large sasa hiulo lako nenda kalimbembee tu halooooooooooooooooooo inahuuuuuuuuuuuuuuuuu
Aminata kwa maneno ya aina hii inaweza ikawa ngumu kidogo kumtuliza mwenza, ona hata TF umeshindwa kumsiliza. Yataka utulivu,maelewano na NK, kuwa na mwanaume na awe wako tuu!!
 
Aminata kwa maneno ya aina hii inaweza ikawa ngumu kidogo kumtuliza mwenza, ona hata TF umeshindwa kumsiliza. Yataka utulivu,maelewano na NK, kuwa na mwanaume na awe wako tuu!!
nimekusoma .....wao ndio wananitibua mm na micoment yao mm sio mgomvi wala
 
NATAMANI AWE WANGU PEKE YANGU WA KUFA NA KUZIKANA CKU ANANIVIKA SHELA ...............NITAJIONA MWENYE FURAHA SANA HAPA DUNIANI.............lkn mmmmmmmmmh!

Utakuwa mchoyo shostito... kizuri ule na nduguyo..
 
alishindwa princes diana wa ukweli sijui kama wewe utapata wa pekee yako.
 
hahahaah mbavu znguuu, h thread!! you guyz 've just made ma morn. . . me mgeni nlitaka kuchungulia tu apa kdogo!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…