you are welcome my dear. wengi watakuja na negative comments ila usiwazikilize. kua makini ila kama ndani ya roho yako unahisi ni wako forever basi ndio ukweli huo. work hard to be perfect for him, he will be perfect for you. ukufocus kwenye negatives unasahu kujipanga mwenyewe na kua positive... mbona kuna wengi wanaishi mapenzi ya fairy tale? mashaka yetu wenyewe wanawake ndio yanatuharibia...thanx love
Wakati naandika nilikuwa naandika. Sikuwa naongea.
point taken mpzyou are welcome my dear. wengi watakuja na negative comments ila usiwazikilize. kua makini ila kama ndani ya roho yako unahisi ni wako forever basi ndio ukweli huo. work hard to be perfect for him, he will be perfect for you. ukufocus kwenye negatives unasahu kujipanga mwenyewe na kua positive... mbona kuna wengi wanaishi mapenzi ya fairy tale? mashaka yetu wenyewe wanawake ndio yanatuharibia...
hakuna wa kwako peke yako.
aaaah bana,kwa mwandani wangu mi mbona ni wa kwake peke yake?
nilijua tu..
Kumbe....
eeeeh! Ukweli upo moyoni mwako. Tena nyie wanaume ndio la la la la la la..,! Oops!
tumebadilika siku hizi.
......................mwe!
Halafu wewe bwana aarghh!!!utakoma leo tunakupa kitchen party. Lol.