Ooh Poor NSSF!! - What is this?


Mkuu,

NSSF kama muwekezaji anaweza kuuendesha huu mradi wa makaa ya mawe vizuri tu bila ya tatizo. Ila ni vema NSSF wasikae muda mrefu katika mradi huu wanaweza kufufua ukafanya kazi vizuri ukiwa unazalisha kifaida wanaweza kukaa nao miaka 5 warudishe hela zao na faida wauza kwa bei ya juu kutengeneza faida.
 

Matatizo ya Tanesco hayatokani na tanesco yanatokana na wanasiasa. Ni wanasiasa waliofikisha Tanesco ilipofika.

I don't realy see why are you so negative when it comes to NSSF investing in power generation,apart from your paranoia over corruption(which here is a constant,since all those other options are susceptible to it).

with the overwhelming evidence of massive corruption scandals unaita la kwangu ni "paranoia"?


Tanesco wameshindwa kwa sababu ya wanasiasa; haijapewa uhuru unaostahili kama ilivyokuwa kwenye matatizo ya mashirika mengine ya umma.

And,just as a hint...President Hu Juntao is kinda reluctant with his 400m$,and the
Hunan's deal is kind crappy too,and it's mainly focused on coal production.

Simlaumu Juntao kwa kuwa reluctant; kwa sababu anataka kuwa na uhakika na fedha zake na mpango mzima. Kwenye NSSF watu wanataka tudandie tu kwa sababu ni "wazo zuri" sisi wengine tunataka kuwa reluctant. Lengo ni kwamba habari na ufahamu wa kutosha upatikane.

I THOUGHT YOU HAD SOME REAL ISH!....But nah,you are just an independent corruption watchdog blogger who loves his country and I commend you for that.

Kwenye desk la Ngeleja kuna hoja ya kuifanyia NSSF mabadiliko ya kisheria na kimuuno ili iweze kuwekeza Kiwira? Really? Whats wrong with that - kama kweli ipo hivyo.
 
Nimekupata mkuu,however hiyo option ya serikali kulipa madeni ya Kiwira (likiwemo la NSSF na mengine); kwanini umeiweka kwenye option ya kwanza peke yake?Maana naona kipengele hiki;"a. Rudisha Kiwira serikalini - bila kuwalipa kina Mkapa; ikiwa ni pamoja na kuwafikisha mahakamani kina Mkapa na Yona kwa uvunjaji wa sheria ya Maadili ya Viongozi." Kiko applicable in regardless to whatever option....Je hicho kipengele cha serikali kulipa hayo madeni kiko applicable in either option kama kilivyo kile cha Makapa na wenzake kufikishwa mahakamani?I said this because options zote zinaanza na kipengele "be" ikiwa na maana kuwa kipengele "aa" kiko applicable in all otpions?
Hopefully umelipata swali langu kamanda.
 

Jmn hv kama mnamjua na sisi tuambieni jina lake tumjue mana kwakwel me personally waga namkubali sana kwa nondo zake
 

Katika haya sihitaji kuyajibu kwani post zako zinaonyesha hoja zimetawaliwa na ubaguzi mwanakijiji. Kwanini kuna sababu mbili naweza kukupa ambazo hazihitaji mwanasayansi wa upasuaji au PhD kufahamu unalenga wapi?

Mosi umeshindwa kutushawishi kwanini tuhofie NSSF zaidi ya PPF au PSPF, LAPF. Hoja kubwa unayoileta jamvini ni ukubwa wa uwekezaji but unasahau kama pension na financial institution inatakiwa kukua kimtaji na kiundeshaji. Hivyo basi kutokana na hilo unasema NSSF inatumika kama mrija wa serikali kukamilisha mipango yao (even though huna ushahidi yakinifu kwa haya uyasemayo).

Pili mashambulizi yako yamelenga mifuko miwili kama ukisoma post zako za nyuma a. NSSF, b. PSPF but mashambulizi katika mifuko mengine umekuwa mchache mno kama sio hakuna kabisa. What do these financial institutions have in common? Wakurugenzi wakuu wote hapa ni waislamu (NSSF ni Dr Dau, PSPF ni Dr Mmanga).

Kama nilivyosema mwanzoni haihitajiki uwe na PhD au kuwa a nuclear scientist kufahamu unalenga wapi. Mifuko mengine je iko hali gani? Vp kule CRDB kwa Dr Kimei? Tushawishi zaidi NSSF wamekosea wapi nitabidili kauli yangu kwasababu awe muislamu au mkristo kama ni fisadi ni vema akemewe na kwa faida ya shirika na tanzania kwa ujumla.
 

Siasa again mkuu toa evidence Mwanakijiji kama huna ni vema uwaache NSSF uendelee na shughuli zako tu.
 

Dah,

Kobello nimeshindwa kufahamu umeandika nini sijui ni mie au sijui kiinglishi mkuu unakusudia kusema nini?
 

Hii ni projection yako wewe mwenyewe. Haina msingi katika ukweli wowote zaidi ya hofu yako.
 
NSSF Wanataka kujikomboa wao ama wanataka kuikomboa energy ministry?
Kama msukumo wa kuinvest Kiwira ungekuwa unatona nje ya NSSF,then hapo kusingekuwa na mashaka.Ninajiuliza hivi NSSF yenyewe hai hitaji rescue?
 

umewahi kunisikia au kunisoma juu ya PSPF? wapi huko au bado una project hofu zako kwangu. Hata sijui kirefu cha huo mfuko! Sijawahi kuuzungumzia wala kuufuatilia - labda kama unaushahidi wowote to the contrary.
 
umewahi kunisikia au kunisoma juu ya PSPF? wapi huko au bado una project hofu zako kwangu. Hata sijui kirefu cha huo mfuko! Sijawahi kuuzungumzia wala kuufuatilia - labda kama unaushahidi wowote to the contrary.

Umesahau Quality Plaza? au sio wewe uliyeileta jamvini?
 
Hii ni projection yako wewe mwenyewe. Haina msingi katika ukweli wowote zaidi ya hofu yako.

Sawa Mzee mwenzangu but fumbo mfumbie mjinga mwerevu huling'amua some of us tunaweza kuunganisha matukio tukapata kukufahamu unalenga wapi.
 
NSSF Wanataka kujikomboa wao ama wanataka kuikomboa energy ministry?
Kama msukumo wa kuinvest Kiwira ungekuwa unatona nje ya NSSF,then hapo kusingekuwa na mashaka.Ninajiuliza hivi NSSF yenyewe hai hitaji rescue?

From what mkuu umesikia kwani NSSF wamefile for bankruptcy? Au BOT imewafine??
 
Siasa again mkuu toa evidence Mwanakijiji kama huna ni vema uwaache NSSF uendelee na shughuli zako tu.

Yaani NSSF waachiwe kutafuna mpunga wa walipa kodi kinyemela? Give me a break ... .... ..... when will this country follow the rule of law? JK nchi imekushinda, sijui tukwambie mara ngapi huwezi kuongoza hii nchi uliingia kwa wizi na utatoka kwa wizi.
 
Sawa Mzee mwenzangu but fumbo mfumbie mjinga mwerevu huling'amua some of us tunaweza kuunganisha matukio tukapata kukufahamu unalenga wapi.

na wakristu nao waseme ninawashambulia kina Mkapa na wengine kwa sababu ya Ukristu wao kwa sababu na wenyewe wameng'amua. Kimsingi hauna chembe hata moja ya ushahidi wa kunifikiria udini; ila ni wazi utetezi wako unaufanya kwa sababu ya dini za wahusika. Udini kumbe uko upande wako siyo kwangu. Hutetei NSSF kwa sababu ya ukweli bali kwa sababu Mkurugenzi wake ni Muislamu. Come out and admit that. Lakini hutapata chembe hata moja ya mimi kuzungumzia jambo lolote kwa misingi ya dini za wahusika. NONE WHATSOEVER..
 

Of course lazima NSSF isimamiwe na kuna vyombo vinawasimamia, je SSRA wameshasema kitu, BOT wameshasema kitu? Sasa mnapiga kelele za nini JF pipili ya shamba inawawashia nini nyie?

Vile vile nachoshangaa pia wachangiaji wengi wameshawatuhumu NSSF mafisadi wakati hakuna hata mmoja wenu ambaye na vithibitisho juu ya hilo kama sio chuki nini hizo? Na JK ameingia wapi hapo mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…