tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
Au kuna jambo ambalo hatulijui?
kati ya mifuko hii miwili naona PPF imegubikwa na kila aina ya kashfa lakini naona mwenzetu amekuwa mstari wa mbele kuwaandama sana NSSF
haikatazwi constructive criticism lakini naona NSSF imekuwa kama vile easy target na ki ufanisi naona kama NSSF seem to be doing far better than PPF kama mwenye kujua undani naomba mniweke wazi hata kwenye PM ili nipate picha kamili
Au kwa sababu mmoja anaitwa WILLIAM erio na mwingine anaitwa RAMADHANI dau?
this is the best of your thinking and reasoning!!! ulitaka mwanakijiji ashambulie NSSF, PPF, LAPF kwa mkupuo??? maskini tanganyika yangu!! watu wako ndio wanaokuua kwa sababu mkristo asisemee udhaifu wa kiongozi muislam and vice-versa!!!