Ommy Dimpoz
Senior Member
- Dec 6, 2016
- 112
- 93
Mtwara girls iko Masasi?
Mkuu umenikumbusha mbali kidogo miaka ya nyuma kidogo niliwahi kula ada yote singida wale watoto niwakali asee.
Acha Fix Kijana. Nuru umesema ni mtoto wa kidigo, alafu babake Shemagembe ana jina la kisambaa tena anafuga majini, wasambaa na kufuga majini wapi na wapi. Ukitunga hadithi fanya tafiti kidogo ya wahusika huko Location.
Na mkeo anapaligwaa hivooo hivoooo Kama wewe unavyowapaligaa wadada na wake za watuu. Kipimo unachowapimia wenzio nawe utapimiwa sawa na wao. Na familiaa mkiwa wazinzi wotee mnaelewana balaaa usidhani mkeo hajuagi anajuaa semaa anaamua kukuachaa sababu nae anajua ana yakee
Next year nachukua sabbatical leave nifanye road trip nipitie mikoa yote uliyoitaja yaani bongo la simulizi congrats. Unatakiwa uanzishe Tanzania sex tourism guide book.
Huyu atarogwa huyu.
Ulivyokuwa unawachanganya ndugu na wewe hiyo dhambi itakurudia tu hata kwa watoto usipoitubiaSina mke na ninasita kuoa. Ila hizo tabia nlishaacha.
Yaani singida sitaacha mr aende pekeyake duu umenifungua kabisaUsiende hiyo mikoa kaka....utaacha kila kitu huko
Mkuu mikoa yote hiyo nimesikia mara safari ikanywewa mara juice mara Dela sijui shanga,sijasoma siku uliyoingia pharmacy kununua ndomu......
Yaani singida sitaacha mr aende pekeyake duu umenifungua kabisa
Ulivyokuwa unawachanganya ndugu na wewe hiyo dhambi itakurudia tu hata kwa watoto usipoitubia
Hayo maeneo ni noma aiseee, mpaka leo biashara hizo zinaendelea club lavidaloca ,chichi night clubCaptain umenikumbusha mwaka 2008 hadi 2010,nilikuwa nasoma Mtwara TTC kawaida kweli Mtwara kuna Totoz mbaya,nakumbuka chimbo lilikuwa sehem flan hiv panaitwa kwa 'blaza wayi', pia field ya kwanza nilienda kufanyia kjiji flan hivi jirani na Nyangao nilimpata mtoto mmoja hiv alikuwa anaitwa Mariam huyo mtoto alitokea kunipenda sana,Mtwara nilisoma Certificate ( Grade A),wakati nafanya Bachelor of education in arts field ya kwanza na ya pili nilifanyia Tanga,Mungu anisamehe sana nilikuwa nikienda kununua Malaya Chichi club,club la Vida loca na Majestic club. Wadada wa Tanga wengi wanacheza michezo ya kurud nyuma mfano Chichi club mbele ni Tsh 7,000/= na nyuma ni Tsh 20,000/= japo nilikataa kula mtandao pendwa lakn nilifanya uchafu mwingi sana na field zote niliishi Amboni sehem flan hiv panaitwa Mafuriko barabara ya kuelekea Mombasa au Horohoro