wao ndio tatizo shida zote wao ndio chanzo na raha zote pia wao ndio chanzo
kuhusu hizo lawama ni kama vile ufree mason kila mtu anaongea lake hakuna anaejua ukweli kamili ingawa kuna ushuhuda mchache kwa watu wachache hivyo ni vigumu kuconclude unakuta mtu katembea na kamtu kamoja kachovu, kalevi, kana stress zake kibao, hakana chanzo cha mapato muda wote kanawaza katakula kuvaa na kulala wapi unategemea kuna kuridhishwa hapo? wangekuwa wametuona huko kwa waganga daily tupo kutafuta miti shamba ndio waseme hivyo na kingine kuongezeka kwa mabango ya waganga wanaodai wanatibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume si kusema kuwa hilo tatizo ni kubwa kiasi hicho hao nao ni wapambanaji tu... kumfikisha mwanamke ni kazi inabidi wote kujipanga we unanuka kipochi, kwapa mdomo, umejipulizia mipafyumu gani sijui, unataka nikupeleke lodge au hotel nzuri kwenda kudoo unategemea nini hapo? jambo la pili kila kitu unajifanya unajua kila kakidume kakibuni kitu unakaclush unategemea nini hapo? mwendeni kwa hao wazee wenu na sie tutaenda kwa dogo dogo center unakatumia toka kanamiaka kumi na mbili mpk kaje kujua kuna kuridhishwa kwa kununuliwa vogue na shopping tayari umekapiga chin kaende kwa vibabu vyenu vila viagra..