amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,298
Usisikie la kuambiwa shosti lol
asikuambie mtu la kuambiwa huwaga kuna chumvi,sukari,abdalasini,giligilani,hiriki,karafuu,nanaa bora tuchungulie wenyewe
Usisikie la kuambiwa shosti lol
asikuambie mtu la kuambiwa huwaga kuna chumvi,sukari,abdalasini,giligilani,hiriki,karafuu,nanaa bora tuchungulie wenyewe
haya nawaacha waendelee na jando maana hili ni janga la taifaMmmh utakua mwenyeji waja leo waondoka leo wewe..lakini bado naona unaendelea kuvunja agano kwa kuwaingilia vijana wakiwa jandoni, inawezekana km umeolewa ww ndio mwenye sauti ndani kwako kitu ambacho kitaivunja ndoa yako usipopunguza mdomo kah..?
Don't tell me,ukiwa mchovu unaweza piga goli 5?ufahari wa mapenzi sio idadi nyingi ya mabao wala sio kuchukua muda mwingi sana kabla ya kupiga bao, ufahari wa mapenzi ni kumridhisha mpenzi wako. hapo itategemea yeye anaridhika kwa kufanyiwa nini ktk mapenzi kwani kila mtu ana namna yake na kipimo chake.
haya nawaacha waendelee na jando maana hili ni janga la taifa
Sijawahi lalamikiwa...ooops bado bikra sor.
Don't tell me,ukiwa mchovu unaweza piga goli 5?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Nyinyi ndio mmechangia kutuharibia vijana wetu kwa kuwasifia wakiimba sijui Ubongo wa fuleva, wakivaa milegezo aka kata k na herini masikioni kwa kuwaita eti ma HB, sasa mmeona wamewaiga kula viepe na baga alafu mnawacheka wakishindwa kugegeda papuchi zenu vizuri..
Hapo pia itategemea na mhusika, ikiwa mhusika akiwa fiti huwa anapiga goli 8 na zaidi basi anaweza kupiga goli 5 akiwa mchovu. lakini hoja yangu ni kuwa idadi ya magoli sio kipimo cha kumridhisha mtu. kuna baadhi ya wanawake kwao goli mbili na utundu wa mapenzi vinatosha kabisa kuwaridhisha na zaidi ya hapo kwao huwa kero.
Wanaume wengi WA darisalama hawajui mambo kazi ubrazameni nakujidai wanajua sn kwanza wengi vidudu vyao haVisimami vzr mpaka uvinyonye sn alaf vibamia uwiiii, kuleni vyakula natural jamani acheni chips
Mkuu ila naona tatizo la kujichua nalo limekua kubwa sana kwa vijana wa siku hizi kitu kinachosababisha kupungua kwa nguvu....
Kuna kautafiti fulani nilikasoma mahala(jina limenitoka) kana sema kati ya vijana 10 wanaooa 6 wameshajichua katika maisha yao, na watatu huendelea kujichua wakiwa katika ndoa...
Unafikiri hili laweza kuwa si chanzo??
eti Ph-25 kwa nini unalaumiwa shughuli huwezi?
Mjitahidi mpate jibu ili mrekebishe hili swala inaniuma maana nilimuacha mpezi wangu nikiwa bado nampenda yani akisimamisha inalegea mwe! Hakuna raha ya mapenzi tena. Ah! Samahani kumbe me tu.
Madem wengine magogo tu kitandani sio hamsha hamsha wala nn na bdo wanataka nao bao tano ahaaa aahhaa!!!!!!!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
ile ni kazi kama kazi nyingine kikubwa hasa ubunifu,ushirikiano na kuzingatia mazoezi ndiko hitajiko kuu la kusaidia hili vilevile...matumizi ya vilevi,sigara navyo si vizuri kwa afya..
hao wanawake waliotoa hayo maoni maoni sio wengi ukilinganisha na idadi yao, nafikiri watakuwa ni wanawake wa kitanga, wao wanajua mapenzi tu!!! ukirudi nyumbani badala akwambie pole na kazi yeye anakuuliza leo utanipiga mabusu mangapi??
Nawashauri wakopi swaga za wanawake wa kichaga.