Trivan Pol
Member
- May 14, 2018
- 5
- 1
Kwa onyo hili ila bado utakuta kuna askari wanakula rushwa
sio wachache ila wengi ndo wapenda rushwaNakubaliana na Madam Afande kuwa Jeshi la Polisi ni la watu waadilifu na wenye weledi.Tatizo ni wachache sana jeshini humo.
huelewekiNakubaliana na Madam Afande kuwa Jeshi la Polisi ni la watu waadilifu na wenye weledi.Tatizo ni wachache sana jeshini humo.
Sawa Mkuu. Pata balimi nakuja kukulipia. Usiku mwema!hueleweki
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu,, tangu nizaliwe mpaka leo,, sijaona polisi muadilifu kabisa,, wote wamejaa mambo ya kuuzi, rushwa kubambikia kesi,, kutumika kisiasa na mengine mengi ya ovyo ovyo.Nakubaliana na Madam Afande kuwa Jeshi la Polisi ni la watu waadilifu na wenye weledi.Tatizo ni wachache sana jeshini humo.
Kwa onyo hili ila bado utakuta kuna askari wanakula rushwa