Onyesho la Sam wa ukweli laua liwale

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
123,250
Reaction score
98,243
Msanii sam wa ukweli akiwa ktk maonyesho yake ktk wilaya ya liwale amekutana na majanga baada ya baunsa aliye kuwa anaangalia usalama getini na kukagua uhalali wa tiketi za kuingilia kupigwa kisu na mtu mmoja aliyetaka kuingia bure kuingia ukumbini sanabu kuangalia maonyesho bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…