Ni sawa lakini wengine hawapongezeki, Hawashauriki, Muda wote unaweza kumpamba kwa sifa lakini akaishia kukuita shetani still bado atasema umuombee sikupindi ila wakati mwingine unaangaia na rafiki wa kutimiza naye hayo usemayo..yaani kuna marafiki wengine wana visa Faru John kasingiziwa.