Onsat on3 fta receiver zinauzwa

Dola Iddy Wa Chelsea

JF-Expert Member
Sep 26, 2014
2,114
1,485
Onsat on 3 ni moja Kati ya ving'amuzi visivyo vya kulipia kwa mwezi yaani Frre To Air Receiver ambayo itakuwezesha kutazama chaneli nyingi bila malipo yoyote kwa mwenzio unachotakiwa kujua Ni kuwa mfumo huu wa kukutafutia chaneli kutoka katika sattelite mbalimbali unahitaji uwe na madishi kuanzia futi 3 ,6 na 8 kutokana na chaneli unazozihitaji

SATELITE ZA MUHIMU KWA MFUMO HUU WA FREE TO AIR

LOCAL CHANELS

1 INTELSAT DEGREE 72.1 E
ITV,EATV, NA CAPITAL
(FUTI 6)

2.AZERSPACE 1 DEGREE 46.0 E
STAR TV, CLOUDS TV, CHANNEL TEN, WASAFI TV NA MWANGAZA TV.
(FUTI 6)

MUVI ,WANYAMA, WATOTO NA MIELEKA

3.EUTELSAT 8 WEST
MBC 1,2,3,4 , ACTION, BOLLYWOOD , DRAMA NA NYINGINE NYINGI.
(FUTI 8)

4. ASTRA 2F DEGREE 28 EAST
AMEN TV, LION TV ,NA CHANELI NYINGI ZAIDI YA 100.
(FUTI 3).

SIFA ZA ONSAT ON3

FILL HD 1080
ADAPTER 12 V
POWER VU AUTOROLL, BISS ,TRANDBERG
COMBO T2 AND S2
(INATUMIA DISH NA ANTENNA)


BEI YAKE Ni 130,000/=

NIPO USHIROMBO MKOANI GEITA

SMS TU 0752467499

POPOTE NDANI YA TANZANIA UTATUMIWA.
FB_IMG_15786709186110238.jpeg
FB_IMG_15786708934329157.jpeg
FB_IMG_15786709013073332.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom