Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,870
- 34,357
Napajua hapo... Chukua Asali halafu usilipe, utawatafuta wahusika mwenyewe tena kwa gharama.
pana uchawi hapo usijaribu utaumia .Duuh ..au pengine ni zuga tu.
Mimi siku nikifunguwa duka nitaweka majini ya nyuki mwizi akitaka kuiba wanamuuma na kufa hapo hapo.Uchawi wa kihindi huo....Huu ni mfano wa kuigwa kwa wenye maduka nchini.
aiseeView attachment 354876
Napajua hapo... Chukua Asali halafu usilipe, utawatafuta wahusika mwenyewe tena kwa gharama.
ffu masiliaView attachment 354876
Napajua hapo... Chukua Asali halafu usilipe, utawatafuta wahusika mwenyewe tena kwa gharama.