Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,275
- 18,351
Yote njaa
Ndio maana wanalazimisha kukata wadaiwa wa bodi 15%.Nchi inahitaji mapato kwa namna yoyote...
Justification ya kutetea uovu?
Hivi aking'atwa na manyigu huko atadhubutu kuadisia nyumbani kuwa kafanyaje
Mzee kashindwa tu kutuambia kwamba hali ni mbaya...Ndio maana wanalazimisha kukata wadaiwa wa bodi 15%.
Ningekuwa na uwezo ninge i-rate 5 stars hii picha.
Kabisa aise.Mzee kashindwa tu kutuambia kwamba hali ni mbaya...
Ilimradi uweze kuvumilia kufika keshoDawa yao ndogo hao...tembea kama vibao vinavyoelekeza.
kwa faida ya serikali tukufu ya na raisi mtukufu jpm na chama kitukufu sisiemuDUU!! hapo afisa usalama barabarani ameamua kutokuwa salama sijui kwa faida ya nani.
Teh!teh!!yaonekana waona giza tu hapo.,pole kamwone daktari kwa suala la macho ila la iq cjui itakuwaje!!!Nini hicho??