Only in Tanzania

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,633
697,754
IMG-20170425-WA0037.jpg
 
Hapa kazi tu, tunakusanya kodi jamani tulieni tujenge nchi,sijui bahati mbaya akakutana na nyoka huko juu atafanyaje
Makosa yanapogeuzwa kuwa SOURCE OF INCOME.........
1. Tutaviziana, badala ya kuelimishana
2. Tutalazimishana kisa nguvu ya dola, badala ya kuelimishana
3. Tutategeana kila mitego ilimradi kila mtu anaswe
4. Tutapewa makosa mengi ili ngalau libaki moja na unayepewa kosa uone kama umesevu kwa kupunguziwa makosa

Nchi yangu naililia....
 
Makosa yanapogeuzwa kuwa SOURCE OF INCOME.........
1. Tutaviziana, badala ya kuelimishana
2. Tutalazimishana kisa nguvu ya dola, badala ya kuelimishana
3. Tutategeana kila mitego ilimradi kila mtu anaswe
4. Tutapewa makosa mengi ili ngalau libaki moja na unayepewa kosa uone kama umesevu kwa kupunguziwa makosa

Nchi yangu naililia....
Hiyo ndio Tanzania mkuu
 
Baba anawachapa watoto wakipanda kwenye miti wakitafuta matunda,baba huyo huyo anapanda kwenye mti ili aumize wengine kwa faini.
 
Ha ha ha haaaaaaaaaaaa

Wakimaliza kazi lazima wanaibeba, wezi wengi jamani kuliko kupoteza pesa ya nguzo na cement. Pia madereva hawawezi kushtukia ipo na kuwashiana taa.

Ha ha ha haaaaa
 
Back
Top Bottom