gwahe
Senior Member
- Nov 24, 2014
- 147
- 84
Wana MMU.
Kutokana na tafiti za mapenzi, watu waliokutana kwa mara ya kwanza na kuwekwa kwenye chumba chenye giza, ikiwa wote hawafahamiani hata kwa sura,wote waliambiana na kuelezana vyema na kila mtu akimweleza mwezie vizuri kwa ukweli wake wa mwenekano na historia zake.
Sasa kutokana na tafiti hiyo, watafiti walitegemea mafanikio chanya kwa watu watakao tongozana kupitia mitandao ya kijamii au online dating au social networks au kwa jina la blind dading.
Lakini cha kusikitisha sana, online dating au blind dating, imekuwa sanaa na maumivu zaidi. Watu hawaelezani ukweli, watu wanafichana uhalisia wao na kusema uwongo. Watu wanatumia social network kwa malengo zao.
Please let us use this technology for good reasons for positive results otherwise tutaendelea kuumizana maana hizi online dating or blind dating imekua shida hasa kwa pande nyingine inayohitaji serious couples au serious commitment in relationship.
Kutokana na tafiti za mapenzi, watu waliokutana kwa mara ya kwanza na kuwekwa kwenye chumba chenye giza, ikiwa wote hawafahamiani hata kwa sura,wote waliambiana na kuelezana vyema na kila mtu akimweleza mwezie vizuri kwa ukweli wake wa mwenekano na historia zake.
Sasa kutokana na tafiti hiyo, watafiti walitegemea mafanikio chanya kwa watu watakao tongozana kupitia mitandao ya kijamii au online dating au social networks au kwa jina la blind dading.
Lakini cha kusikitisha sana, online dating au blind dating, imekuwa sanaa na maumivu zaidi. Watu hawaelezani ukweli, watu wanafichana uhalisia wao na kusema uwongo. Watu wanatumia social network kwa malengo zao.
Please let us use this technology for good reasons for positive results otherwise tutaendelea kuumizana maana hizi online dating or blind dating imekua shida hasa kwa pande nyingine inayohitaji serious couples au serious commitment in relationship.