Ongezeko la mishahara kwa walimu

ungejulia wapi jf wewe acha ushoga madaktari wenyewe walifudishwa na walimu...
Lakini sio walimu wasiofundisha ambao kazi yao ni kudai mishahara kama wa shule za kayumba nadhani matokeo yake unayaona zero kibao,usitegemee kutoa daktari,zamani walimu walikuwa na wito wanapiga kazi kinoma thus why walitoa product za ukweli.....bisha?
 
Lakini sio walimu wasiofundisha ambao kazi yao ni kudai mishahara kama wa shule za kayumba nadhani matokeo yake unayaona zero kibao,usitegemee kutoa daktari,zamani walimu walikuwa na wito wanapiga kazi kinoma thus why walitoa product za ukweli.....bisha?

asee tupo pamoja sana mkuu...
 
Muongezewe mshahara kwa kazi gani mnayofanya,au kwa elimu gani mlionayo vilaza wakubwa nyie?mmekalia kuuza kashata na mandazi huko mashuleni huku mkiwaacha wadogo zetu wakifeli mitihani halafu bado mnataka muongezewe mishahara!acheni tabia za kiliberali bana.

acha kuongea ulojo wewe kichwa kikubwa ubongo wa mende.
 
Nimejaribu kupiga hesabu hapa,kama kwasasa graduate anapata basic 532,000/- na kama wakiongeza 20% basi basic itakua 638,400/- ukiweka makato yote take home itakua 500,128/-
 
Tatizo la waalimu wetu sii lao ni hao marais wao, badala ya kupanga mishahara realistic wanakuja na figures ambazo kama zikilipwa then watumishi wengine wasilipwe mshahara! yaani watumishi woote wa umma waishi bila mishahara (ma dr, wanajeshi, police, mahakama, etc..)! hawa viongozi wao wanalamba pesa ya mwalimu house ya pale ilala wakati waalimu wetu wanasota! hata aibu hawana, kazi kupiga siasa tu shame on you mukoba na mtani wako!
poleni ma teachers, we all love you! and wish you all da best!

Chama cha Walimu ni chama pekee kinaCHOFANYA KAZI. Kimejenga majengo mengi nchini na vyama vingine bado viapangisha. Kwa hilo tuwapongeze viongozi wetu. Acha kuwavunja moyo!
 
Peryy imekosea ndugu yangu. Siku nyingine jitahidi kudhibiti ulimi wako katika kuwasiliana. Fino da final; Mtamanyali, Meljons, The Secretary, Laurence na Taifakwanza; na wengine wote tuliokwazwa na kauli ya mropokaji huyu TUMSAMEHE BURE. Kwanza ametufanya tutoke kwenye mada. Perry kitahidi kujifunza uungwana.
 
bora hata na wewe umeliona hilo mkuu,hawa walimu wa siku hzi wanaenda kusomea ualimu kwa sababu walifeli huko secondary au wengine ili tu wapate bumu..mwishowe ndo hawa wanaishia kuuza maandazi na wengne kuwa mabodaboda huko mashuleni na kuwaacha watoto wakifeli.halafu hata wasivyokua na aibu eti bado nao wanataka waongezewe mshahara..walimu mishahara yenu itabaki kuwa TGS D milele,hawana mchango wowote katika hili taifa.

"mwalimu wako anaonekana alikutomasa kabla ya kukufundisha ndo mana unamlaumu , mwalimu wangu m nlikumbal"
 
Muongezewe mshahara kwa kazi gani mnayofanya,au kwa elimu gani mlionayo vilaza wakubwa nyie?mmekalia kuuza kashata na mandazi huko mashuleni huku mkiwaacha wadogo zetu wakifeli mitihani halafu bado mnataka muongezewe mishahara!acheni tabia za kiliberali bana.

Kama ni viumbe alivyo umba Mungu hukustahili kuwa unatembea kwa miguu miwili. Hao unawaita vilaza ndio waliokuwezesha ukaandika upuuzi huu. Kama ni laana inakufuata kwa dharau uliyoionesha kwa viumbe dhaifu hawa. Kila la kheri kwa ukipanga ulio nao. But soon U will be where U belong.
 
Sikiliza wewe kama vipi basi nenda na wadogo zako darasani ukajisomeshe mwenyewe, itakuwa poa sana mkubwa.
 
Back
Top Bottom