SOVIET UNION
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 460
- 1,291
Air Tanzania , Mmebadilisha ndege ya Lusaka Dar es Salaam bila utaratibu , Watu zaidi ya 10 tumeambiwa ndege imejaa baada ya kuletwa ndege ndogo.
Cha kushangaza zaidi hamna utaratibu wa kuhamishia abiria kwa ndege zingine hapa na zipo nyingi zinazofika Dar Leo usiku kama Ethiopia na Airlink.
Hakuna huduma ya kurizisha hapa , watu wanaisema vibaya ndege yetu kwa kukosa umakini. Kwanza imechukua zaidi ya masaaa mawili hapa kucheck in watu wasiofika hata mia. Tupeni utaratibu abiria walioachwa hapa - Mnashindwaje kuwa na makubaliano na ndege zingine kwa ajili ya kusaidia hizi challenges.
Mkiendelea hivi abiria watawakimbia - Hakkisheni abiria tulioachwa kwa sababu zenu tunafika Dar leo , vinginevyo mtajiingizia hasara zisizokuwa na msingi watu watakapo amua kwenda mahakamani.
Air Tanzania Company Limited Jana imebidi tujiokoe wenyewe na kuchukua ndege zingine, mimi nilikuwa na Ethiopians Airline pamoja na wenzangu wanne . ATC hadi sasa hamna muelekeo wa kurudisha hela zetu wala kutaka kujua hali za abiria mliowatelekeza.
Hizi ndege ni zetu lakini tu naona huruma sana Taifa letu kwa namna ambavyo mnaendesha biashara hii ya ndege. Mnaharibu sana jina la ATC. Within seven days muwe mmetulipa hela zetu , Nina list ya wote walioachwa na contacts zao.
Cha kushangaza zaidi hamna utaratibu wa kuhamishia abiria kwa ndege zingine hapa na zipo nyingi zinazofika Dar Leo usiku kama Ethiopia na Airlink.
Hakuna huduma ya kurizisha hapa , watu wanaisema vibaya ndege yetu kwa kukosa umakini. Kwanza imechukua zaidi ya masaaa mawili hapa kucheck in watu wasiofika hata mia. Tupeni utaratibu abiria walioachwa hapa - Mnashindwaje kuwa na makubaliano na ndege zingine kwa ajili ya kusaidia hizi challenges.
Mkiendelea hivi abiria watawakimbia - Hakkisheni abiria tulioachwa kwa sababu zenu tunafika Dar leo , vinginevyo mtajiingizia hasara zisizokuwa na msingi watu watakapo amua kwenda mahakamani.
Air Tanzania Company Limited Jana imebidi tujiokoe wenyewe na kuchukua ndege zingine, mimi nilikuwa na Ethiopians Airline pamoja na wenzangu wanne . ATC hadi sasa hamna muelekeo wa kurudisha hela zetu wala kutaka kujua hali za abiria mliowatelekeza.
Hizi ndege ni zetu lakini tu naona huruma sana Taifa letu kwa namna ambavyo mnaendesha biashara hii ya ndege. Mnaharibu sana jina la ATC. Within seven days muwe mmetulipa hela zetu , Nina list ya wote walioachwa na contacts zao.